Edson Zephania
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 517
- 112
Naomba wana jf mnisaidie.
Nilipokwenda UDOM (University of Dodoma) kwa mara ya kwanza kuona chuo kikubwa ambacho kinavuma kwa kasi. Ukiwa unaingia getini utakutana na nembo kubwa ya CCM wakat vyuo vingne unakutana na nembo ya chuo husika, nikapata maswali bila majibu kua hivi Udom ni chuo cha Umma au CCM?
Nilipokwenda UDOM (University of Dodoma) kwa mara ya kwanza kuona chuo kikubwa ambacho kinavuma kwa kasi. Ukiwa unaingia getini utakutana na nembo kubwa ya CCM wakat vyuo vingne unakutana na nembo ya chuo husika, nikapata maswali bila majibu kua hivi Udom ni chuo cha Umma au CCM?