Hivi ugonjwa wa macho mekundu umeingia Dar?

Hivi ugonjwa wa macho mekundu umeingia Dar?

simakoku

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
537
Reaction score
586
Wakuu, hivi ugonjwa wa macho mekundu (red eyes) umeingia Dar. Leo nimeenda nyumba moja nimekuta watu mawili wanaumwa macho.

Kwakuwa nimekaa sana hapo nina wasiwasi nami naweza kupata. Nifanyeje ili usinipate?
 
MIMI WIKI MBILI ZILIZOPITA NILIKUMBWA NA HUU UGONJWA MKUU, MACHO YALIKUWA MEKUNDU BALAA NA YENYE KUWASHA NIKO DAR
 
Hhahaha ada, kodi ya nyumba, stress za home, daladala, nauli za watoto n.k huku unaambiwa ukikutwa umenuna wanakukamata kuwa unataka kujinyonga! Unakuta hayo yote yanahamia machoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MIMI WIKI MBILI ZILIZOPITA NILIKUMBWA NA HUU UGONJWA MKUU, MACHO YALIKUWA MEKUNDU BALAA NA YENYE KUWASHA NIKO DAR
ilikuchukua muda gani mkuu mpaka kupona. ulitumia dawa gani?
 
Wakuu, hivi ugonjwa wa macho mekundu (red eyes) umeingia Dar. Leo nimeenda nyumba moja nimekuta watu mawili wanaumwa macho.

Kwakuwa nimekaa sana hapo nina wasiwasi nami naweza kupata. Nifanyeje ili usinipate?

Wanatokea kanda gani?
Kama ni kanda maalumu usihangaike
 
Wakuu, hivi ugonjwa wa macho mekundu (red eyes) umeingia Dar. Leo nimeenda nyumba moja nimekuta watu mawili wanaumwa macho.

Kwakuwa nimekaa sana hapo nina wasiwasi nami naweza kupata. Nifanyeje ili usinipate?
Ni uchafu tuu...kama mtu uko smart basi Red Eyes utaiskia Bombani
 
Wakuu, hivi ugonjwa wa macho mekundu (red eyes) umeingia Dar. Leo nimeenda nyumba moja nimekuta watu mawili wanaumwa macho.

Kwakuwa nimekaa sana hapo nina wasiwasi nami naweza kupata. Nifanyeje ili usinipate?
Hiyo ni viral infection. Nawa uso na sabuni mara kwa mara. Epuka kufikicha macho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Habari za Asubuhi
Huu UGONJWA Wa RED EYES[/b] Naona Umelipuka Sasa yapata Wiki Sasa Nasumbuliwa na Macho na Lilianza JICHO LA KUSHOTO, Leo Ndio Hali imekua Tete Jicho Limevimba Na Nimekwisha ona Watu kadhaa Kama WANNE Hivi wako Na huu UGONJWA ikiwemo Watoto

Kuna yeyote alikumbwa na Tatizo hili AU Muathirika yeyote umekwisha Muona Mpaka Sasa !?
 
Wakuu, hivi ugonjwa wa macho mekundu (red eyes) umeingia Dar. Leo nimeenda nyumba moja nimekuta watu mawili wanaumwa macho.

Kwakuwa nimekaa sana hapo nina wasiwasi nami naweza kupata. Nifanyeje ili usinipate?

Fuata maelekezo ya Rais Magufuli aliyoyatoa kwa ajili ya kukomesha ugonjwa wa COVID-19.
 
Back
Top Bottom