huwa najiulizaga mara nyingi kwa nini wanapaita kwa wajanja...sipati jibu
vijana magraduate wanakimbilia sinza kwa sababu zao amabapo wengi ukiwauliza kwa nn wanaishi pale na si tofaut hana jibu...ataishia kukuambia ni rahisi kutoka na kuingia....
hakuna lolote pale....maisha ya pale yapo juu hasa kodi za nyumba kila kukicha zinapaa,hakuna mazingira mazuri ya kumuwezesha kijana/familia kuishi standard life hapa (kwa mtazamo wangu)
najua wapo wengi mtabisha au kukubali maana tumetofautiana mitazamo ila tujaribu kuangalia na maeneo mengine,,,,sinza siku izi imechafuliwa in such hata ukimweleza mtu unaishi kule anabaki na daut moyoni....mbaya zaidi starehe zake zilivyozagaa,guest,fujo na zaidi wakaaz wa mbali ndo wanakuja pale kufanya uchafu wao na baadh ya wenyeji...aahgrrrrrrrr
ANGALIZO:maisha ni popote na u live the choices u make today!!
Sio kweli, sehemu kibao kuna bia usiku kucha.Kunywa bia mpaka asubuhi, huwezi kunywa popote zaidi ya Sinza
hhahhahahahaaahhhaa! Mestod bwana, Jet unafananisha na sinza sasa?Jet Lumo mwisho wa lami.
Acha kupadis cnza mkuu utaumia! huko bilz malaya bei gali mana ht malaya w kw mfuga mbwa akishafika posta anajidai matawi!! sinza buku tano yako 2 unang'oa tena ile mida mida y saa11 asubuhi unajibebea goma lako buure bila kutoa ht mia ....... jamani sinza! mkoa crudi tena.
Duh sikutaka kuchangia hapa lakini hii AVATAR yako funga kazi!
hhahhahahahaaahhhaa! Mestod bwana, Jet unafananisha na sinza sasa?
Maji hayajai mvua ikinyesha. Amani kwa kwenda mbele. Ukiangusha walet mjumbe anatangaza mwenye nayo anaichukua. Ukiangusha hela inapelekwa kwenye mfuko wa amendeleo ya mtaa.
Ila ndege ikifeli breki 2 inakula kwenu.
Wallet ikiangukainaokotwa? hii bado kwetuMaji hayajai mvua ikinyesha. Amani kwa kwenda mbele. Ukiangusha walet mjumbe anatangaza mwenye nayo anaichukua. Ukiangusha hela inapelekwa kwenye mfuko wa amendeleo ya mtaa.
Aaah wapi. Toka nchi hii imepata kuumbwa haijawahi tokea. We hushangai hadi kipawa wakahama hakuna kitu?
Ni hiyo zamani ila sahv kuna ndege z mchina ......