Hivi ujio wa will smith haujawa neema kwa bongo muvi?

BongoMuvi hawawazi kuwekeza sekta yao kimataifa.!Wanataka wawekeze kisiasa zaidi ili wale ela za mapato ya taifa...ahahah.!Natania tu.Back to the point,Hawa BongoMuvi hawajui kutumia fursa kiufupi.!Will anakuja mwenyewe na mnamuangalia hadi anasepa tena kwa mara ya pilg!!Bongo tuna abundace ya ujinga.Tsk!
 
Yale ma muvi ya Hollywood magumu vile nani anataka kolabo nao?
 
Wako busy wanabishana kuhusu malipo yao ya kampeni za ccm .
 
mkuu na mbona wengi kiswahil kina washinda wanapenda kuongea kingereza we huwasikiii wakiwa wanahojiwa
Kile ni kiswanglish mkuu unakariri maneno machache ya kimombo cha bia basi unapiga mkorogo
 
Kwa mfano wewe ungekuwa upo kwenye Bongo Movie na upo serious; ungefanya vp?!

Filamu sio kama muziki!! Na kama ulitaka awape darsa walitakiwa wao (Bongo Movie) au Bodi ya Filamu kwa kushirikiana na Wizara/Bodi ya Utalii n.k ndio wamwandalie safari Smith na moja ya ratiba zake iwe kukutana na Bongo Movie! Sio mtu amekuja kivyake au ameletwa na mwingine halafu watokee wengine from nowhere wa-take advantage... hakuna kitu kama hicho!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…