Hivi ukicheza soka na timu za majeshi sheria na kanuni za mpira huwa zinaachwa kando?

Hivi ukicheza soka na timu za majeshi sheria na kanuni za mpira huwa zinaachwa kando?

Sijawahi kusikia mchezaji wa prison kasajiliwa na timu nyingine au kaitwa timu ya taifa, mwenye kumbu kumbu anambie.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Wewe Utakuwa huwa hufatilii mpira tu!! Chakukusaidia tu mkuu


Salum kimenya keshaitwa karibia mara mbili, Cleofas mkandala kabla hajahama TZPrisons keshaitwa

Hawa ni baadhi ya wachezaji wa Prisons na wakasajiliwa Timu nyibgine


Primus kasonso_Simba
Ismail Aziz_Azam
Kelvin Friday_Biashara
Victor Hangaya_Mbeya city
Cleofas mkandala_Dodoma Jiji
Eliuter Mpepo_alienda singida akaenda Zambia sahv yupo Kati ya msumbiji au Afrika kusini!!
 
Ongezea na Henry Moris na marehemu Godfrey Bonny walienda Yanga
 
Tatizo la kuujulia mpira uzeeni.
Hujui kuwa tumewahi kukufunga tukiwa dhaifu na pungufu uwanjani?

Timu kuwa pungufu kama wana mikakati mizuri wanaweza kushinda mechi kwa magoli ya counter attack.
tatizo lenu mnaiona Simba Kama real Madrid kumbe hamna lolote,nyinyi mnatakiwa mchezewe kikatili Kama vile na mpira wenu wa madoido,ikiwezekana kuvunja hata mtu mguu.mnamaneno machafu sana.mnachoona aibu nakujidai kooote watu wapo pungufu na mmechemka.mkome.
 
Inataka kuzoeleka kwamba kuna aina nyingine ya mpira unaitwa "pira gwaride"

Aina hii ya mpira mchezaji anaruhusiwa kucheza hata mieleka na akaendelea kulaumu akiadhibiwa.

Katika mechi za Simba na Prison kuanzia mechi ya awali,wachezaji wamekuwa wakichezewa faulo mbaya katika penalty box zaidi ya mara moja.Mfano mzuri ni jinsi Shomari Kapombe alivyovyutwa wazi wazi. Lengo si kutaka magoli ya penalty,lakini inabidi kwa afya ya mpira wa nchi hii,michezo ya kihuni kama hii,ikemewe hasa waamuzi wanaposhindwa kuchukua hatua.

Vinginevyo unaweza kudhani wachezaji hao wa Prisons wanajua kukaba,kumbe una watu wanaocheza mpira kigaidi ambao katika zile sheria na kanuni halali za mpira,hawawezi kusajiliwa kabisa.

Maana sio skills zinazotumika bali ubabe ambao hata ukimuingiza ndani komandoo yeyeote wa jeshi hata kama hajawahi kucheza mpira,ataonekana anajua kwa mujibu wa "pira gwaride"
Siku hizi mmekuwa malalamiko FC, chezeni mpira wa kiume siyo kulegea kama mchicha
 
tatizo lenu mnaiona Simba Kama real Madrid kumbe hamna lolote,nyinyi mnatakiwa mchezewe kikatili Kama vile na mpira wenu wa madoido,ikiwezekana kuvunja hata mtu mguu.mnamaneno machafu sana.mnachoona aibu nakujidai kooote watu wapo pungufu na mmechemka.mkome.
Uto km uto
 
Inataka kuzoeleka kwamba kuna aina nyingine ya mpira unaitwa "pira gwaride"

Aina hii ya mpira mchezaji anaruhusiwa kucheza hata mieleka na akaendelea kulaumu akiadhibiwa.

Katika mechi za Simba na Prison kuanzia mechi ya awali,wachezaji wamekuwa wakichezewa faulo mbaya katika penalty box zaidi ya mara moja.Mfano mzuri ni jinsi Shomari Kapombe alivyovyutwa wazi wazi. Lengo si kutaka magoli ya penalty,lakini inabidi kwa afya ya mpira wa nchi hii,michezo ya kihuni kama hii,ikemewe hasa waamuzi wanaposhindwa kuchukua hatua.

Vinginevyo unaweza kudhani wachezaji hao wa Prisons wanajua kukaba,kumbe una watu wanaocheza mpira kigaidi ambao katika zile sheria na kanuni halali za mpira,hawawezi kusajiliwa kabisa.

Maana sio skills zinazotumika bali ubabe ambao hata ukimuingiza ndani komandoo yeyeote wa jeshi hata kama hajawahi kucheza mpira,ataonekana anajua kwa mujibu wa "pira gwaride"
Umeandika point Sana,
Mechi ile Prison walicheza kibabe Sana. Walicheza Kama mechi za kina Ashanti na Boom za ilala enzi hizo. Tukiacha adhabu ya red Card ilipaswa TFF wawapige faini hawa.
 
Vipi refa alivyowapa simba goli ka off side?
Hata offside hiyo sheria yake huifahamu vema simba alinyimwa goli la shuti liliotemwa la Shabalalah na Kopa Mugalu kuzamisha wavuni alikuwa offside.Tuseme tu ukweli sheria ya goli la offside inawachanganya marefa wetu.
 
Mpira wa kihuni unaoutaka mbona tunauweza kuliko nyie.Ni vile wachezaji wetu wanajitambua kwani hapo sio mahali pa kuonesha miguvu na uhuni.Soka ni sehemu ya kuonesha skills na ubunifu unaoleta burudani,sio kuingia kama kondoo kisa una fuvu gumu
Siku hizi mmekuwa malalamiko FC, chezeni mpira wa kiume siyo kulegea kama mchicha
 
tatizo lenu mnaiona Simba Kama real Madrid kumbe hamna lolote,nyinyi mnatakiwa mchezewe kikatili Kama vile na mpira wenu wa madoido,ikiwezekana kuvunja hata mtu mguu.mnamaneno machafu sana.mnachoona aibu nakujidai kooote watu wapo pungufu na mmechemka.mkome.
Mbona simba iliwahi wafunga Yanga ikiwa Pungufu? Umesahau Yanga mwenzangu?ninyi mmechelewa sana kuufahamu mpira ila ni mashabiki wa simba na yanga tu. Mimi ninapenda mchezo wa mpira wa miguu na kuipenda yanga. Ndo maana hunikuti nikishabikia upuuzi
 
Back
Top Bottom