Jjmwaipopo
Senior Member
- Jan 11, 2020
- 189
- 122
Hivi mbeya city ni wanyakyusa wa wapiKwa nnavyowajua wanyakyusa wa mbeya.. pale prisons alilegeza... Na kadi nyekundu iliwamaliza mapema, la sivyo uangetokea yale ya mzunguko wa kwanza kwa mtu mzima kulala mapema
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Wewe Utakuwa huwa hufatilii mpira tu!! Chakukusaidia tu mkuuSijawahi kusikia mchezaji wa prison kasajiliwa na timu nyingine au kaitwa timu ya taifa, mwenye kumbu kumbu anambie.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
tatizo lenu mnaiona Simba Kama real Madrid kumbe hamna lolote,nyinyi mnatakiwa mchezewe kikatili Kama vile na mpira wenu wa madoido,ikiwezekana kuvunja hata mtu mguu.mnamaneno machafu sana.mnachoona aibu nakujidai kooote watu wapo pungufu na mmechemka.mkome.
Siku hizi mmekuwa malalamiko FC, chezeni mpira wa kiume siyo kulegea kama mchichaInataka kuzoeleka kwamba kuna aina nyingine ya mpira unaitwa "pira gwaride"
Aina hii ya mpira mchezaji anaruhusiwa kucheza hata mieleka na akaendelea kulaumu akiadhibiwa.
Katika mechi za Simba na Prison kuanzia mechi ya awali,wachezaji wamekuwa wakichezewa faulo mbaya katika penalty box zaidi ya mara moja.Mfano mzuri ni jinsi Shomari Kapombe alivyovyutwa wazi wazi. Lengo si kutaka magoli ya penalty,lakini inabidi kwa afya ya mpira wa nchi hii,michezo ya kihuni kama hii,ikemewe hasa waamuzi wanaposhindwa kuchukua hatua.
Vinginevyo unaweza kudhani wachezaji hao wa Prisons wanajua kukaba,kumbe una watu wanaocheza mpira kigaidi ambao katika zile sheria na kanuni halali za mpira,hawawezi kusajiliwa kabisa.
Maana sio skills zinazotumika bali ubabe ambao hata ukimuingiza ndani komandoo yeyeote wa jeshi hata kama hajawahi kucheza mpira,ataonekana anajua kwa mujibu wa "pira gwaride"
Uto km utotatizo lenu mnaiona Simba Kama real Madrid kumbe hamna lolote,nyinyi mnatakiwa mchezewe kikatili Kama vile na mpira wenu wa madoido,ikiwezekana kuvunja hata mtu mguu.mnamaneno machafu sana.mnachoona aibu nakujidai kooote watu wapo pungufu na mmechemka.mkome.
Umezaliwa mwaka 2000 ww wapo wengi tu walioitwa hivi huyo kipa wenu Beno kakolanya timu yake ya mwanzo ilikuwa ipi?Sijawahi kusikia mchezaji wa prison kasajiliwa na timu nyingine au kaitwa timu ya taifa, mwenye kumbu kumbu anambie.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Umeandika point Sana,Inataka kuzoeleka kwamba kuna aina nyingine ya mpira unaitwa "pira gwaride"
Aina hii ya mpira mchezaji anaruhusiwa kucheza hata mieleka na akaendelea kulaumu akiadhibiwa.
Katika mechi za Simba na Prison kuanzia mechi ya awali,wachezaji wamekuwa wakichezewa faulo mbaya katika penalty box zaidi ya mara moja.Mfano mzuri ni jinsi Shomari Kapombe alivyovyutwa wazi wazi. Lengo si kutaka magoli ya penalty,lakini inabidi kwa afya ya mpira wa nchi hii,michezo ya kihuni kama hii,ikemewe hasa waamuzi wanaposhindwa kuchukua hatua.
Vinginevyo unaweza kudhani wachezaji hao wa Prisons wanajua kukaba,kumbe una watu wanaocheza mpira kigaidi ambao katika zile sheria na kanuni halali za mpira,hawawezi kusajiliwa kabisa.
Maana sio skills zinazotumika bali ubabe ambao hata ukimuingiza ndani komandoo yeyeote wa jeshi hata kama hajawahi kucheza mpira,ataonekana anajua kwa mujibu wa "pira gwaride"
Hata offside hiyo sheria yake huifahamu vema simba alinyimwa goli la shuti liliotemwa la Shabalalah na Kopa Mugalu kuzamisha wavuni alikuwa offside.Tuseme tu ukweli sheria ya goli la offside inawachanganya marefa wetu.Vipi refa alivyowapa simba goli ka off side?
Siku hizi mmekuwa malalamiko FC, chezeni mpira wa kiume siyo kulegea kama mchicha
Mbona simba iliwahi wafunga Yanga ikiwa Pungufu? Umesahau Yanga mwenzangu?ninyi mmechelewa sana kuufahamu mpira ila ni mashabiki wa simba na yanga tu. Mimi ninapenda mchezo wa mpira wa miguu na kuipenda yanga. Ndo maana hunikuti nikishabikia upuuzitatizo lenu mnaiona Simba Kama real Madrid kumbe hamna lolote,nyinyi mnatakiwa mchezewe kikatili Kama vile na mpira wenu wa madoido,ikiwezekana kuvunja hata mtu mguu.mnamaneno machafu sana.mnachoona aibu nakujidai kooote watu wapo pungufu na mmechemka.mkome.