Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,483
- 6,257
Juzi usiku mnene kuna kibaka/vibaka waliruka ukuta wakaingia maskani.
Fast forward: Alfajiri niliamka nikakuta madirisha (vioo) vimefunguliwa. Sebuleni wakaiba box la simu (wakidhani kuna simu ndani), chumbani wakachomoa kadeti zangu nne, mashati mawili yalikuwa karibu na dirisha.
Lakin pia nikagundua ufunguo wa babywoka yangu umeanguka kutoka kwenye dressing table. Ni kama walijaribu kuuvuta kwa kutumia fimbo ukaanguka wakaachana nao.
Nikawaza wangefanikiwa kusepa na funguo ingekuwaje, wangewasha gari ambalo lipo uani? Geti wangefunguaje? Wasingeweza kuondoka nalo, nyumba nzima tungesikia bila shaka.
Off course ninayo spare key. Lakin vipi hii funguo original ambayo wangesepa nayo... Usalama wa gari yangu si ungekua kwenye mhaho!!
Hivi wakuu, ikitokea umegundua umeibiwa funguo yako ya gari unatakiwa ufanyeje immediately? Unamuita fundi anabadili Starter? Gharama zake kwa vigari vidogo inaweza kucheza kwenye shingapi, laki moja inazidi?
Fast forward: Alfajiri niliamka nikakuta madirisha (vioo) vimefunguliwa. Sebuleni wakaiba box la simu (wakidhani kuna simu ndani), chumbani wakachomoa kadeti zangu nne, mashati mawili yalikuwa karibu na dirisha.
Lakin pia nikagundua ufunguo wa babywoka yangu umeanguka kutoka kwenye dressing table. Ni kama walijaribu kuuvuta kwa kutumia fimbo ukaanguka wakaachana nao.
Nikawaza wangefanikiwa kusepa na funguo ingekuwaje, wangewasha gari ambalo lipo uani? Geti wangefunguaje? Wasingeweza kuondoka nalo, nyumba nzima tungesikia bila shaka.
Off course ninayo spare key. Lakin vipi hii funguo original ambayo wangesepa nayo... Usalama wa gari yangu si ungekua kwenye mhaho!!
Hivi wakuu, ikitokea umegundua umeibiwa funguo yako ya gari unatakiwa ufanyeje immediately? Unamuita fundi anabadili Starter? Gharama zake kwa vigari vidogo inaweza kucheza kwenye shingapi, laki moja inazidi?