bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Wazo la kukopa trekta HP 50 kulima mashamba yako kukodisha Mara chache ili upate mafuta.Kulima heka 600 yaani eka 20 kwa siku.
Mazao ni yale yasiyo na changamoto nyingi mfano kunde, karanga,mtama,mihogo,viazi vitamu,mbaazi,njugu. mategemeo ni gunia 1000 kwa msimu mmoja wa zao moja wapo.
HP 50 new tractor brand New Holland, Case, John Deere si zaidi ya milion 60.
Mkopo ndani ya mwaka mmoja. Je, itawezekana kurejesha mkopo? Maana hesabu za makaratasi ukiingia field ni tofaut.
Dereva ni wewe mwenyewe unakomaa nalo heka 20 kwa siku unapumzika.
Kulima ni saa kumi usiku hadi saa tano asubuhi na saa kumi jioni hadi saa nne usiku kupumzika ni masaa nane tu
Vipi walio na uzoefu, je utatoboa?
Kwann mazao hayo ni kwa sababu Sio complicated yaani hata kwa mvua chache unavuna hayachagui udongo, hayahitaji mbolea Wala madawa. Pia Sio mazao pendwa kulogwa na wachawi vijijini labda Yana ukinzani.
Nipeni idea.
Mazao ni yale yasiyo na changamoto nyingi mfano kunde, karanga,mtama,mihogo,viazi vitamu,mbaazi,njugu. mategemeo ni gunia 1000 kwa msimu mmoja wa zao moja wapo.
HP 50 new tractor brand New Holland, Case, John Deere si zaidi ya milion 60.
Mkopo ndani ya mwaka mmoja. Je, itawezekana kurejesha mkopo? Maana hesabu za makaratasi ukiingia field ni tofaut.
Dereva ni wewe mwenyewe unakomaa nalo heka 20 kwa siku unapumzika.
Kulima ni saa kumi usiku hadi saa tano asubuhi na saa kumi jioni hadi saa nne usiku kupumzika ni masaa nane tu
Vipi walio na uzoefu, je utatoboa?
Kwann mazao hayo ni kwa sababu Sio complicated yaani hata kwa mvua chache unavuna hayachagui udongo, hayahitaji mbolea Wala madawa. Pia Sio mazao pendwa kulogwa na wachawi vijijini labda Yana ukinzani.
Nipeni idea.