Hivi ukimuondoa Harry Kane, England hawana World Class Player mwingine, Wanaenda kutembea tu Russia

Hivi ukimuondoa Harry Kane, England hawana World Class Player mwingine, Wanaenda kutembea tu Russia

Hats
Leo tujadilini timu ya media. Timu ya Taifa ya England au maarufu kama The three lions wamefuzu na watakuwepo katika fainali za Kombe la Dunia pale Urusi mapema June 2018.

Ukiangalia Wachezaji wanaounda kikosi chao, unaweza ukasikitika kama sio kusononeka. Nyota wa timu ni Harry Kane, nakubali anajua kufunga, je akina nani wapo nyuma yake katika timu ndio habari ya kubwa.

Leo hii walinda milango wao ni wa kawaida sana, Joe Hart ametolewa kwa mkopo West Ham na anakaa benchi. Golikipa mwingine Jack Butland timu yake imeshuka daraja na hajawahi kushiriki hata Europa Ligi.

Ukija mabeki, kuna akina John Stones, Smalling ambaye wote mnajua anavyobabaika, kuna beki tegemeo wa kushoto Ashley Young, what a joke! atleast Kyle Walker ananishawishi na yule Harry Maguire wa Leicester.

Kwenye kiungo, kuna Henderson kiungo anayejua kupiga square pass, kuna akina Eric Dier, Wilshere ambaye hayupo fomu ila lazma aitwe, pia kuna Dele Alli ambaye wote ninyi ni mashahidi amekuwa na fomu ya chini sana msimu huu unaoisha kesho.

Mimi nathubutu kusema, England kwa aina ya wachezaji walionao akivuka kundi lake atakuwa amejitahidi sana! Vinginevyo nieatakie safari njema ya utalii wao ndani ya Russia.

Povu ruksa!![/QUHata Huyo Harry Kane ni wakawaida sana!....
 
Wapange tu hivi
1.Butland
2.alexander anord
3.ashley young
4.john stone
5.cahill
6.jonjo/milner
7.sterling
8.handerson
9.crouch
10.kane
11.rashford
Milner na Crouch wameshastaafu timu ya taifa

Jonjo yule kocha sjui ana matatizo nae gani?unaweza ukashangaa anaitwa Jake Livermore anaachwa yeye..
Kwa kifupi Mkuu yupo sahihi wale wanaenda kwa ajili ya Utalii tuu
 
Taja world class players kumi Duniani..ukiwatoa Ronaldo na Messi...Mpira una maajabu mengi nani alifikiria Barca watatolewa na Roma..my prediction kombe litachukuliwa na timu ngeni sio favourite... Germany,France,Brazil,Argentina, Spain(Italy haipo)..jiandaeni kisaikolojia mambo ya Greece Euro 2004.
 
Mpira haupo kama wewe unavyotaka, as long as wanajua wao ni wa kawaida wanaweza kujituma haswa wakafika mbali sana.
 
But wengi sana huwa ni kawaida yenu kuwachukia waingereza. So, hakuna jipya kwa uliyoyaandika.
Unawachukia lakini huchoki kuifatilia league na vilabu vyao.
 
acheni majungu kwani ICELAND,POLAND,BOSNIA,COLOMBIA,RUSSIA,SWITZLAND, N.K zina hao maworld class mnaosema?mpira sio majina BELGIUM ilikuwa ina kila aina ya wachezaji ila wote tuliona ilivyonyanyaswa na WALES iliyokuwa inaongozwa na BALE ila player wengine wote walikuwa wa kawaida kina joe allen,robson kanu,ashley willium na kina ramsey............soka alipo hivyo......haya rudi kwa PORTUGAL ilikuwa na world class player gani zaidi ya CR7 lakini ndio mabingwa wa ulaya na walizichachafya timu zilizokuwa na wachezaji wakali kama FRANCE.......
 
Ukiondoa chuki kidogo, utaona potential kwenye England squad. Tena kutokuwa na majina kutawasaidia sana. Time will tell. Tutakumbushana.
 
Taja world class players kumi Duniani..ukiwatoa Ronaldo na Messi...Mpira una maajabu mengi nani alifikiria Barca watatolewa na Roma..my prediction kombe litachukuliwa na timu ngeni sio favourite... Germany,France,Brazil,Argentina, Spain(Italy haipo)..jiandaeni kisaikolojia mambo ya Greece Euro 2004.
1. De Bruyne
2.Hazard
3. Salah
4. Neymar
5.De Gea
5.Sanchez
6.Kane
7.Muller
8.Mbape
9.Pogba
10.Aguero
Hapo mwingereza mmoja tu, hata ukisema 20 hakuna.
 
1. De Bruyne
2.Hazard
3. Salah
4. Neymar
5.De Gea
5.Sanchez
6.Kane
7.Muller
8.Mbape
9.Pogba
10.Aguero
Hapo mwingereza mmoja tu, hata ukisema 20 hakuna.
KKwahiyo ukimtoa kane hao waliobaki watacheza timu moja? Huyo Belgium alishawahi kufanya nini kwenye soka? Liverpool inawachezaji wangapi unaozungumzia wewe na yupo final cl, barca ana wangapi na yupo wapi?
 
Leo tujadilini timu ya media. Timu ya Taifa ya England au maarufu kama The three lions wamefuzu na watakuwepo katika fainali za Kombe la Dunia pale Urusi mapema June 2018.

Ukiangalia Wachezaji wanaounda kikosi chao, unaweza ukasikitika kama sio kusononeka. Nyota wa timu ni Harry Kane, nakubali anajua kufunga, je akina nani wapo nyuma yake katika timu ndio habari ya kubwa.

Leo hii walinda milango wao ni wa kawaida sana, Joe Hart ametolewa kwa mkopo West Ham na anakaa benchi. Golikipa mwingine Jack Butland timu yake imeshuka daraja na hajawahi kushiriki hata Europa Ligi.

Ukija mabeki, kuna akina John Stones, Smalling ambaye wote mnajua anavyobabaika, kuna beki tegemeo wa kushoto Ashley Young, what a joke! atleast Kyle Walker ananishawishi na yule Harry Maguire wa Leicester.

Kwenye kiungo, kuna Henderson kiungo anayejua kupiga square pass, kuna akina Eric Dier, Wilshere ambaye hayupo fomu ila lazma aitwe, pia kuna Dele Alli ambaye wote ninyi ni mashahidi amekuwa na fomu ya chini sana msimu huu unaoisha kesho.

Mimi nathubutu kusema, England kwa aina ya wachezaji walionao akivuka kundi lake atakuwa amejitahidi sana! Vinginevyo nieatakie safari njema ya utalii wao ndani ya Russia.

Povu ruksa!!
Mkuu hivi kocha wa England ni nani vile????
 
Leo tujadilini timu ya media. Timu ya Taifa ya England au maarufu kama The three lions wamefuzu na watakuwepo katika fainali za Kombe la Dunia pale Urusi mapema June 2018.

Ukiangalia Wachezaji wanaounda kikosi chao, unaweza ukasikitika kama sio kusononeka. Nyota wa timu ni Harry Kane, nakubali anajua kufunga, je akina nani wapo nyuma yake katika timu ndio habari ya kubwa.

Leo hii walinda milango wao ni wa kawaida sana, Joe Hart ametolewa kwa mkopo West Ham na anakaa benchi. Golikipa mwingine Jack Butland timu yake imeshuka daraja na hajawahi kushiriki hata Europa Ligi.

Ukija mabeki, kuna akina John Stones, Smalling ambaye wote mnajua anavyobabaika, kuna beki tegemeo wa kushoto Ashley Young, what a joke! atleast Kyle Walker ananishawishi na yule Harry Maguire wa Leicester.

Kwenye kiungo, kuna Henderson kiungo anayejua kupiga square pass, kuna akina Eric Dier, Wilshere ambaye hayupo fomu ila lazma aitwe, pia kuna Dele Alli ambaye wote ninyi ni mashahidi amekuwa na fomu ya chini sana msimu huu unaoisha kesho.

Mimi nathubutu kusema, England kwa aina ya wachezaji walionao akivuka kundi lake atakuwa amejitahidi sana! Vinginevyo nieatakie safari njema ya utalii wao ndani ya Russia.

Povu ruksa!!
Namuongezea na raheem sterling hapoo
 
Back
Top Bottom