Attache
Senior Member
- Jul 6, 2012
- 175
- 149
Leo nilikua ninaangalia documentary ya unsealed conspiracy files, na kwenye episode ya kwanza na ya pili walizungumzia sana masual ya biological weapons, yani the creation and use of diseases to perish other human beings.From the same documentary inasemekana kuwa kuna some scientific evidence kuwa HIV ilikua developed kwenye military lab marekani. Swali ni kwamba kama walifanya hivyo kwa HIV, hawatafanya hivyo kwa gonjwa lingine?
Suprisingly ni kwamba kwenye news ipo stated otherwise. Kwenye habari za leo zinasema kuwa imekua proven scientifically kuwa AIDS inaonekana ku originate kinshasa mwaka 1920 na kwamba kutokana na reli iliyojengwa na wabelgiji infection ikasambaa kwa kasi sana. Question is why now especially kwenye kipindi cha outbreak ya ebola? Je ni namna ya kuzima any suspicions kwamba wao ndio wametengeneza?
Any way, baada wa world wars, westeners wali take initiatives kuwa execute wa-nazi kwa kuwa responsible for the war. But inasemekana kuna wanazi wachache (wale wenye utashi wa kisayansi) wakapewa immunity in return for their services to either marekani au urisi (right then kulikua na cold war). Mmoja wapo alikua ni Erich Traub ambaye marekani walimtumia kwenye operation paper clip (mtafute kwenye wikipedia) ambapo moja kati ya activities zake ni kutengeneza biological weapons kwenye kisiwa cha Plum ambapo kuna contaversial institute inayojihusisha na mambo hayo kwa kujidai wanatibia wanyama ( Pulm Island Animal Disease Centre of New York).
Kitu ambacho kinanipa wasiwasi ni watu wenye ambitions kama za Prince Phillip ambaye once alisema, kama angekuwa reicarnated ( kutokea katika namna nyingine) angependa kurudi kama deadly parasite ili asolve tatizo la over population. Hii agenda ya New World Order inakua vigumu kuwa implemented kwenye dunia ya watu wengi hivo they are likely to do whatever they can to buttress the initiative including kuleta machavuzi na magonjwa kama UKIMWI na Ebola.
Haya ni maswali na mawazo niliyonayo kutokana na events zinazotokea na information chache zilizopo. Mtazamo wenu ni upi kwenye hili suala?
Suprisingly ni kwamba kwenye news ipo stated otherwise. Kwenye habari za leo zinasema kuwa imekua proven scientifically kuwa AIDS inaonekana ku originate kinshasa mwaka 1920 na kwamba kutokana na reli iliyojengwa na wabelgiji infection ikasambaa kwa kasi sana. Question is why now especially kwenye kipindi cha outbreak ya ebola? Je ni namna ya kuzima any suspicions kwamba wao ndio wametengeneza?
Any way, baada wa world wars, westeners wali take initiatives kuwa execute wa-nazi kwa kuwa responsible for the war. But inasemekana kuna wanazi wachache (wale wenye utashi wa kisayansi) wakapewa immunity in return for their services to either marekani au urisi (right then kulikua na cold war). Mmoja wapo alikua ni Erich Traub ambaye marekani walimtumia kwenye operation paper clip (mtafute kwenye wikipedia) ambapo moja kati ya activities zake ni kutengeneza biological weapons kwenye kisiwa cha Plum ambapo kuna contaversial institute inayojihusisha na mambo hayo kwa kujidai wanatibia wanyama ( Pulm Island Animal Disease Centre of New York).
Kitu ambacho kinanipa wasiwasi ni watu wenye ambitions kama za Prince Phillip ambaye once alisema, kama angekuwa reicarnated ( kutokea katika namna nyingine) angependa kurudi kama deadly parasite ili asolve tatizo la over population. Hii agenda ya New World Order inakua vigumu kuwa implemented kwenye dunia ya watu wengi hivo they are likely to do whatever they can to buttress the initiative including kuleta machavuzi na magonjwa kama UKIMWI na Ebola.
Haya ni maswali na mawazo niliyonayo kutokana na events zinazotokea na information chache zilizopo. Mtazamo wenu ni upi kwenye hili suala?