Hii ni conspiracy ya kibiashara na depopulation mkuu,wajanja wanajua.Niishie hapo wasije wenye conspiracy wakanishuhulikia kama "walivyomshuhulikia" aliyekuwa Rais wa Africa ya Kusini Bwana Mbeki.Habari wanabodi;
Hivi hili gonjwa hatari zaidi lipo au it is just a myth? Kinachonifanya nidhani hivyo ni kwanini mtu haumwi ile serious kabisa mpaka akishaenda kupima huo ugonjwa?
Nimekutana na scinareo kadha wa kadha, wengine unakuta wana afya nzuri kabisa, haumwi mara kwa mara ila wakisema tu waende kucheck afya na bahati mbaya wakakutwa na huo ugonjwa ndio majanga yanapoanza..
Sasa kama kuumwa kunaanza badala tu ya kwenda kupima, kuna umuhimu gani wa watu kupima?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mpaka unafikiria kwenda kupima si lazima ushazifikiria hizo rafu zote? Kama umeshajitoa muhanga kwanini ukimbie majibuWanasema ishu sio kupima,msala uko kwenye kupokea majibu.unanza kukumbuka rafu zote ulizowahi cheza
Mimi hata kwa greda siendi kupima. majuzi niliota majipu kama 8 nikajua tayari.
Kabisa mkuu, ukiacha sababu za kibiashara naona pia ni njia ya kudhibiti population.. Kuna watu wachache duniani wanafikiri kwa niaba ya generations na generations zijazo..Hii ni conspiracy ya kibiashara mkuu,wajanja wanajua.Niishie hapo wasije wenye conspiracy wakanishuhulikia kama "walivyomshuhulikia" aliyekuwa Rais wa Africa ya Kusini Bwana Mbeki.
Kupima kwengine si kwa hiari mkuu,kuna kazi nyengine lazima upime ndo upate,na kuna nchi ili kupata baadhi ya vibali lazima upime ngoma.Mkuu mpaka unafikiria kwenda kupima si lazima ushazifikiria hizo rafu zote? Kama umeshajitoa muhanga kwanini ukimbie majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakapoingia kwenye familia yako na kuwatafuna kama watu 4 au 5 kwa mkupuo ndio utaamini kuwa upo,usiseme hivyo mkuu,UKIMWI upo na unaua maelfu ya watu,jaribu kutembelea hospitali kubwa kama vile Mwananyamala,Temeke,Amana n.k nenda kule kwenye kitengo cha waathirika ndio utakapogundua kuwa hata hizi takwimu za watu walioathirika inawezekana serikali haitoi idadi sahihi...Habari wanabodi;
Hivi hili gonjwa hatari zaidi lipo au it is just a myth? Kinachonifanya nidhani hivyo ni kwanini mtu haumwi ile serious kabisa mpaka akishaenda kupima huo ugonjwa?
Nimekutana na scinareo kadha wa kadha, wengine unakuta wana afya nzuri kabisa, haumwi mara kwa mara ila wakisema tu waende kucheck afya na bahati mbaya wakakutwa na huo ugonjwa ndio majanga yanapoanza..
Sasa kama kuumwa kunaanza badala tu ya kwenda kupima, kuna umuhimu gani wa watu kupima?
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua hilo mkuu lakini hawakushikii bunduki, unapewa room ya kukubali kupima ili upate hiyo service au ukache na ukose.. Sasa huo muda wa kufikiria ndio utafikiria na hizo rafuKupima kwengine si kwa hiari mkuu,kuna kazi nyengine lazima upime ndo upate,na kuna nchi ili kupata baadhi ya vibali lazima upime ngoma.
Hujasema kama ni dhahiri upo au it's a myth... Inakuaje mtu anaanza kuugua serious baada ya kupima?U
Utakapoingia kwenye familia yako na kuwatafuna kama watu 4 au 5 kwa mkupuo ndio utaamini kuwa upo,usiseme hivyo mkuu,UKIMWI upo na unaua maelfu ya watu,jaribu kutembelea hospitali kubwa kama vile Mwananyamala,Temeke,Amana n.k nenda kule kwenye kitengo cha waathirika ndio utakapogundua kuwa hata hizi takwimu za watu walioathirika inawezekana serikali haitoi idadi sahihi...