Hivi UKIMWI upo kweli?

Labda shida inakua jina walilotoa UKIMWI ndo mana hutak kuamn kama upo bas boss tubadili dili jina badala ya ukimwi tuite ataa!! SLIMDIE
labda utaamin
Kwann uamin magonjwa mengne yaliyofumbuliwa na watu hao hao wana sayans na ndo walovumbua na ukimw afu ukatae ukimw haupo ?!? Bas malaria nayo ,pneumonia hayapo
 
Mbona mi nishaenda kupima na nilikutwa sina kwenye hizo NGOs nilikua na rafiki zangu wa3 wote tulikua salama
Mkuu sijasema kwamba hicho kinafanyika ila ni uoga wangu tu,na kutokuwa na imani na vitu vya bure.Mimi kitu ukishaniambia ni cha bure tu hapohapo unakuwa ushanivuruga.
 
Mkuu sijasema kwamba hicho kinafanyika ila ni uoga wangu tu,na kutokuwa na imani na vitu vya bure.Mimi kitu ukishaniambia ni cha bure tu hapohapo unakuwa ushanivuruga.
Ahahahah,,hupendi vitu vya bure ee [emoji23][emoji23]
 
Je mi nikitaka kukupa bure pia hutaki?
Sidhani kama itakuwa bure mana kuna gharama za uendeshaji hapo,usafiri,malazi,chakula,vinywaji,nguvu kazi na bahshishi baada ya shuhuli yenyewe,kwa harakaharaka hapo tayari ishakatika laki.
 
Sidhani kama itakuwa bure mana kuna gharama za uendeshaji hapo,usafiri,malazi,chakula,vinywaji,nguvu kazi na bahshishi baada ya shuhuli yenyewe,kwa harakaharaka hapo tayari ishakatika laki.
Hahaahhaha
 
Ukiwa na utendaji kazi uliotukuka lazima upate tuzo, so ukipenda kuvua chupi sana tuzo ni ukimw. Hili gonjwa lipo ww lisikilizie kwa mwenzio tu si kwako, siku likikupata ndio utajua nini maana ya UKIMW.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili dude ni shida hata usipokuwa hodari wa kuvua chupi linakupata tu.Ukiona huna mshukuru tu Mungu.Kuna scenario Moja imetokea juzi yaani imenifanya nifikiri mara mbili mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…