Hivi ukiondoa kukata viuno kupenda ngoma na starehe zingine, sisi weusi tuko hodari kwenye uvumbuzi gani hasa?

Hivi ukiondoa kukata viuno kupenda ngoma na starehe zingine, sisi weusi tuko hodari kwenye uvumbuzi gani hasa?

Misri ya zamani iliyofanya uvumbuzi wa vitu mbalimbali haikuwa ya waarabu, waarabu walivamia baadae wakatawala Misri na Afrika Kaskazini, na ndio mwisho wa umaarufu wa Misri kutumia akili.
hizi stori ya pyramids hazijanyooka zina theory kibao. hata ukiwauliza wabobezi wa historia wa ukouko misri hawajui nani waliojenga. zimebaki historia za kufikirika tu.
 
Utaendelea kuwa na mawazo kwa vile unafikiria lazima uwe kama mtu mweupe ...Ujinga ni pale kukunbatia elimu ambayo tunaona haifanyi chochote zaidi ya kuzidi kuwa tegemezi .

Mwafrika angeachana na elimu ya mzungu ,akafungia vitu vyote hata media zao nahisi hapo watu wangekuwa wabunifu ila sio wasomi wanataka kuwa kama wazungu.

Zile zama za kufua vyuma ,ujenzi wa kiasili , biashara ,kilimo mmeachana nazo mnakimbilia kusomeshwa madude kinyume cha ufahamu wenu ...Mngekuwa wabunifu kwa kuitaa ile elimu ya mzungu tangu mwanzo.

Taliban walishakataa huo ujinga tena watafuta kabisa ,kuendelea kusomesha watoto elimu yenye ustaarabu wa kimagharib ni kuzalisha vibaraka wa wazungu milele bila ya kuwa na ubunifu wowote ule.​
 
mkuu kama hutajali tuwekee rejea yoyote ya haya uliyoandika apa vinginevo naww tukuongeze kwenye listi ya wakata viuno🤣
Chief mbona kila kitu kipo wazi

Marimba-kinanda

Zeze -gitaa

Ngoma -still ngoma

Kitendo cha kuufanya muziki kuwa burudani kilianzia africa ila wazungu wakaugeuza kuwa wa kibiashara
 
Kukesha kanisani,kuomba sana, kuamini ma tatizo yataondoka kwa kuomba tu, kushabikia mpira,kupenda ngono, kuona ni jambo la maana sana,
Trrue
Ongezea hii
👇👇
kulaumu wengine kwa matatizo waliyojisababishia wenyewe
 
Back
Top Bottom