Hivi ukitaka kufanya mapenzi na mke/mpenzi wako unamwambiaje?

Hivi mtu kaja kukutembelea , hana taarifa ya kwamba mta DO siku hiyo SIO UBAKAJI?????????????????

Nadhani ni vyema mambo yote yawe wazi before na kila mmoja ajiandae akiwa anajua kuna nini siku hiyo husika

Ili kulifurahia tendo la Ndoa ni vyema ubongo uwe tayari na taarifa na kutafsiri yatakayojiri wakati husika
 

Ni kweli mkuu ni vizuri aelewe mapema ili ajiandae kiakili na kimwili sababu inawezekana yupo kwenye siku zake au hana mood na hicho kitu so ni vizuri kumweleza mapema kabla ya ku do.
 
Inategemea ni "kamradi gani ka kishetani" unakotaka kukatusua siku hyo,kama ni demu wako wa kitambo sizani kama unahijaji mbinu..lakin kama ndo mechi ya kwanza alafu uko ugenini hapo usilopoke neno..we jifanye "bubu ila unataka kupanda mbuyu"
 
Sitegemei swali kama hili kutoka kwa 'mwanaume'

Kwani hapo mwanzo alitongozaje? Jamaa yao huyo ana matatizo!

Na wala si mada ya kuleta humu JF MMU... Labda chitchat.. Mods chunguzeni mada kama hizi...
 
Note the age... 8-18..you tell the story&you take her 2bed, ..18-28yrs,you tell the story then she takes you 2bed...ukishindwa kabisa mwambie 'lala chari'
 

Kuna njia kuu mbili za kumueleza mpenzi wako kama unataka kufanya naye mapenzi either verbal or non-verbal communication. Nikirudi nitaelezea namna ya kuzitumia na jinsi zinavyofanya kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…