Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna jamaa alipata binti mkali kishenzi sasa kuna cku binti kaja gheto na jamaa alikuwa na hamu sana sasa alishindwa aanzaje kumwambia binti wafanye sasa cku moja tupo bar tunapiga stori jamaa akatusimulia huo mkasa alf akatuuliza hivi nyie mkitaka kufanya mapenzi na mke au mpenzi mnawambiaje?
kuna mmoja wetu alijibu huwa anamwambia rara nikurenge tulicheka sana.
nikaona nililete hapa jamvini.
Sitegemei swali kama hili kutoka kwa 'mwanaume'
Sijaona hata umuhimu wa kuliweka hapa!!!!!!!!!!!!
kuna jamaa alipata binti mkali kishenzi sasa kuna cku binti kaja gheto na jamaa alikuwa na hamu sana sasa alishindwa aanzaje kumwambia binti wafanye sasa cku moja tupo bar tunapiga stori jamaa akatusimulia huo mkasa alf akatuuliza hivi nyie mkitaka kufanya mapenzi na mke au mpenzi mnawambiaje?
Kuna mmoja wetu alijibu huwa anamwambia rara nikurenge tulicheka sana.
Nikaona nililete hapa jamvini.
kijana nyote mtakuwa ndio kwanza mmebalehe,mlikuwa mnafanya nn bar aaaah?
Itategemea na mood ya siku hiyo. Me wa kwangu nikimwambia leo nina hamu ya ku do nikirud toka kazini nakuta anaumwa.
mi cjaelewa umeweka tucheke ama umeweka tukushauri.kwan we ulimjibu nn huyo PIMBI
Hakuna maneno kwenye hii kitu. Mawasiliano ya vitendo yanatosha.
Baby nataka kukutusua!
Ok. Umejuaje kuwa sijafanya kazi na naendekeza mapenzi???
kuna jamaa alipata binti mkali kishenzi sasa kuna cku binti kaja gheto na jamaa alikuwa na hamu sana sasa alishindwa aanzaje kumwambia binti wafanye sasa cku moja tupo bar tunapiga stori jamaa akatusimulia huo mkasa alf akatuuliza hivi nyie mkitaka kufanya mapenzi na mke au mpenzi mnawambiaje?
kuna mmoja wetu alijibu huwa anamwambia rara nikurenge tulicheka sana.
nikaona nililete hapa jamvini.