Hivi ukitaka kufanya mapenzi na mke/mpenzi wako unamwambiaje?

Hivi ukitaka kufanya mapenzi na mke/mpenzi wako unamwambiaje?

kuna jamaa alipata binti mkali kishenzi sasa kuna cku binti kaja gheto na jamaa alikuwa na hamu sana sasa alishindwa aanzaje kumwambia binti wafanye sasa cku moja tupo bar tunapiga stori jamaa akatusimulia huo mkasa alf akatuuliza hivi nyie mkitaka kufanya mapenzi na mke au mpenzi mnawambiaje?
kuna mmoja wetu alijibu huwa anamwambia rara nikurenge tulicheka sana.
nikaona nililete hapa jamvini.

Mimi siwezi kuiandika hapa kwani situmii mdomo, tumeshapita steji ya kuambiana kwa mdomo!
 
mi cjaelewa umeweka tucheke ama umeweka tukushauri.kwan we ulimjibu nn huyo PIMBI
 
Itategemea na mood ya siku hiyo. Me wa kwangu nikimwambia leo nina hamu ya ku do nikirud toka kazini nakuta anaumwa.
 
kuna jamaa alipata binti mkali kishenzi sasa kuna cku binti kaja gheto na jamaa alikuwa na hamu sana sasa alishindwa aanzaje kumwambia binti wafanye sasa cku moja tupo bar tunapiga stori jamaa akatusimulia huo mkasa alf akatuuliza hivi nyie mkitaka kufanya mapenzi na mke au mpenzi mnawambiaje?
Kuna mmoja wetu alijibu huwa anamwambia rara nikurenge tulicheka sana.
Nikaona nililete hapa jamvini.

kijana nyote mtakuwa ndio kwanza mmebalehe,mlikuwa mnafanya nn bar aaaah?
 
Hakuna maneno kwenye hii kitu. Mawasiliano ya vitendo yanatosha.
 
Mie tangu nimeoa siombi as tumejiwekea ki timetable kuanzia saa 5 usiku mpaka alfajir daily!
 
kuna jamaa alipata binti mkali kishenzi sasa kuna cku binti kaja gheto na jamaa alikuwa na hamu sana sasa alishindwa aanzaje kumwambia binti wafanye sasa cku moja tupo bar tunapiga stori jamaa akatusimulia huo mkasa alf akatuuliza hivi nyie mkitaka kufanya mapenzi na mke au mpenzi mnawambiaje?
kuna mmoja wetu alijibu huwa anamwambia rara nikurenge tulicheka sana.
nikaona nililete hapa jamvini.

unamwambia hivi: TUTENDE TWENENDE.
 
Unamkumbatia namabusu lukuki atajibu mashambulizi mwishowe watu wanashangilia.
 
kaka hapo ni vitendo tu,mpaka hiyo papuchi imekuja kwa geto inajua nini kinafuata.Hapo ni wewe tu..............!
 
Back
Top Bottom