Hivi Ulaya kuna utaratibu wa kuulizwa jina la balozi wa mtaa/mtendaji kata, diwani au mbunge ili kuthibitisha kama ni mkazi wa sehemu husika?


Muhimu utakuepusha na mambo na adha Kama hizo,
 
Ok.Haujapenda kutanua mjadala tu.Ngazi ya kitongoji,Kijiji,mtaa hakuna wadhifa wa balozi.Mabalozi wamebaki wa CCM tu ili kuwahamasishia mambo yao kichama.
chaguzi za serikali za mitaa huchagua watu nafasi gani?

kwa vijijini tuna nafasi 3 (mwenyekiti wa kijiji, tuna kitongoji na tuna balozi),

kwa mijini tuna mwenyekiti wa mtaa, tuna balozi.... (hio ya kitongoji mjini sijaisikia),

balozi ni mtu muhimu sana kwenye structure ya uongozi hapa nchini, yeye ndiye mwenye watu!
 
Usemi wako unaonesha ulikuwa unawinda mke wa mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…