Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
mtaa husika ndio unapendekeza, kiutaratibu zamani walikuwa wanasema kila nyumba kumi na mbili lazima kuwe na balozi lkn sasa hivi sio lazima.Hawa mabalozi huwa wanapatikanaje??
Kumbe kinaitwaje mkuu?Hakuna.
Nikiwa narudi zangu ghetto imebidi nipite shortcut bahati mbaya nimekosea njia nakujikuta napita njia ya kwenda uhani kwa mtu sio mzuri kwenye vichochoro vya mjini sasa wahusika wakaanza kuwa na mashaka na mimi.
Wakaniweka mtu kati nakuanza kuniuliza maswali with confidence nikawaelezea kuwa naelekea nyumbani ila bahati mbaya nimekosea njia.
Wakaanza kuniuliza balozi wako anaitwa nani? Kimsingi sio kwa ubaya licha ya kuishi huu mtaa simjui balozi, mtendaji wala diwani. wakanituhumu kuwa mimi nitakuwa mtu mbaya na sio mkazi wa sehemu husika kisa simjui balozi.
Hivi kweli kwa ingia na kutoka ya jiji hili la Dar es salaam jumlisha wingi wa watu pamoja na harakati za kimaisha kuna umuhimu gani wa kuulizana majina ya viongozi wa ngazi za chini?
chaguzi za serikali za mitaa huchagua watu nafasi gani?Ok.Haujapenda kutanua mjadala tu.Ngazi ya kitongoji,Kijiji,mtaa hakuna wadhifa wa balozi.Mabalozi wamebaki wa CCM tu ili kuwahamasishia mambo yao kichama.
Usemi wako unaonesha ulikuwa unawinda mke wa mtu.Nikiwa narudi zangu ghetto imebidi nipite shortcut bahati mbaya nimekosea njia nakujikuta napita njia ya kwenda uhani kwa mtu sio mzuri kwenye vichochoro vya mjini sasa wahusika wakaanza kuwa na mashaka na mimi.
Wakaniweka mtu kati nakuanza kuniuliza maswali with confidence nikawaelezea kuwa naelekea nyumbani ila bahati mbaya nimekosea njia.
Wakaanza kuniuliza balozi wako anaitwa nani? Kimsingi sio kwa ubaya licha ya kuishi huu mtaa simjui balozi, mtendaji wala diwani. wakanituhumu kuwa mimi nitakuwa mtu mbaya na sio mkazi wa sehemu husika kisa simjui balozi.
Hivi kweli kwa ingia na kutoka ya jiji hili la Dar es salaam jumlisha wingi wa watu pamoja na harakati za kimaisha kuna umuhimu gani wa kuulizana majina ya viongozi wa ngazi za chini?
🤣Haina haja.
Ila mkuu unatakiwa uwe unavaa smart ukiwa smart sio rahisi mtu kukushuku ni kibaka.
Mke wa mtu sumuUsemi wako unaonesha ulikuwa unawinda mke wa mtu.