Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi kati hapo CCM walitangaza mkutano wa kamati kuu ya chama. Sisikii lolote likiendelea kuna yeyote mwenye taarifa? Au ni kikao cha siri?
Hawana keleleJuzi kati hapo CCM walitangaza mkutano wa kamati kuu ya chama. Sisikii lolote likiendelea kuna yeyote mwenye taarifa? Au ni kikao cha siri?
Malizaneni kwanza na Lissu, CCM maji marefu.Juzi kati hapo CCM walitangaza mkutano wa kamati kuu ya chama. Sisikii lolote likiendelea kuna yeyote mwenye taarifa? Au ni kikao cha siri?
Juzi kati hapo CCM walitangaza mkutano wa kamati kuu ya chama. Sisikii lolote likiendelea kuna yeyote mwenye taarifa? Au ni kikao cha siri?
Kikao cha wanyang'anyiJuzi kati hapo CCM walitangaza mkutano wa kamati kuu ya chama. Sisikii lolote likiendelea kuna yeyote mwenye taarifa? Au ni kikao cha siri?
Leo siku 2 kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.Mkutano upo kama ulivyopangwa ni tareh 17 na 18
Mko busy na CHADEMATuko Dodoma
Mbona kimya sana wakuu sio kawaida yenu?Tuko Dodoma
Mnatumia vyombo gani vya habari siku hizi mbona humsikiki?Mkutano upo kama ulivyopangwa ni tareh 17 na 18
Kumbe CCM ni ya wajumbe wa halmashauri kuu pekee!Husikikii lolote likiendelee kwani wewe ni Mjumbe wa CCM wa mkutano huo?
Lissu amekuwa kikwazo.Midomo mizito kama ndoo za maji.Mbona kimya sana wakuu sio kawaida yenu?
Watasubiri sana.Nadhani wanasubiri baada ya tarehe 20 kujua watapokea wangapi kutoka Chadema!
Kakatika ulimi.Sasa sijui itakuwaje.Chadema imewafunika tangia mwaka jana.....nasikia wanampandisha Kingwenduhh ili wapate KIKI