CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
CCM tunaheshimu katibaLeo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.
Wako busy 24/7 mpaka wanasahau ya kwaoBado wanakodolea mambo ya CHADEMA kama mazuzu.
Mambuzi ndivyo walivyo.Wako busy 24/7 mpaka wanasahau ya kwao
π€£π€£Kakatika ulimi.Sasa sijui itakuwaje.
Chama Cha MAJAMBAZIMalizaneni kwanza na Lissu, CCM maji marefu.
Chadema mnakula za Abdul tuu.Chama Cha MAJAMBAZI