Hivi ulimwengu unaendeshwa kwa namba, maombi au karma?

Hivi ulimwengu unaendeshwa kwa namba, maombi au karma?

Mungu niguse

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2024
Posts
272
Reaction score
729
Katika haya Maisha ya ulimwenguni kuna code ambazo ni ngumu kuzielewa.

Wapo wanaotumia namba kufanikisha mambo yao hawa hauwezi kuwakuta kanisani au msikitini.

Hawa wanajua kwenda sawa na mitetemo ya kila mwaka.

Kuna hawa wengine wao wanaamini katika maombi tu yawe maombi ya giza au nuru.

Na kuna wengine huambii kitu kuhusu karma.

Nimejiuliza hili swali baada ya mama mdogo wangu ambaye ana pesa Ila alikuwa monster (mnyama) anashiriki ibada za kishirikina na kuchukia watu.

Leo amekuwa mtu wa kuhangaika katika kila makanisa akiamini alilogwa na wabaya wake.

Ila Mimi baada ya kumsoma Pascal Mayalla nimegundua hizo ni karma ubaya umeamua kumrudia.
 
Nguvu za asili zinaendesha huu ulimwengu, sayari na nyota zote zinapangwa na nguvu za asili, hii nguvu ndio watu wanaiita Mungu. Ukifanya ubaya, nguvu ya asili inalipiza. Usiifananishe hii nguvu na Mungu wa Israel. Waisraeli wamejiamulia tu Mungu wao na si wa wote, wa wote ni hii nguvu ya asili. Natural law is everything.
 
Katika haya Maisha ya ulimwenguni kuna code ambazo ni ngumu kuzielewa.


Wapo wanaotumia namba kufanikisha mambo yao hawa hauwezi kuwakuta kanisani au msikitini .

Hawa wanajua kwenda sawa na mitetemo ya kila mwaka.

Kuna hawa wengine wao wanaamini katika maombi tu yawe maombi ya giza au nuru .


Na kuna wengine huambii kitu kuhusu karma .

Nimejiuliza hili swali baada ya mama mdogo wangu ambaye ana pesa Ila alikuwa monster (mnyama) anashiriki ibada za kishirikina na kuchukia watu.


Leo amekuwa mtu wa kuhangaika katika kila makanisa akiamini alilogwa na wabaya wake .



Ila Mimi baada ya kum so ma @Psachal Mayalla


Nimegundua hizo ni karma ubaya umeamua kumrudia .
Ulimwengu wote unaendeshwa kwa namba.Wazungu wanalijua hilo ndio maana mataifa yao yana maendeleo makubwa mno...
Je umeshawahi kujiulizaa kwa nini Amri kumi ( Ten commandment) na sio mia,elfu etc??
Majibu yote yapo hapo kuonesha maisha yote ya mwanadamu yametawaliwa na namba.
 
Ulimwengu wote unaendeshwa kwa namba.Wazungu wanalijua hilo ndio maana mataifa yao yana maendeleo makubwa mno...
Je umeshawahi kujiulizaa kwa nini Amri kumi ( Ten commandment) na sio mia,elfu etc??
Majibu yote yapo hapo kuonesha maisha yote ya mwanadamu yametawaliwa na namba.
Nzuri hii
 
Kutokana na elimu ya namba ( numerology ) namba zote dunia zinaweza kuwa reduced to its roots number inayoitwa soul or spirit number kupitia natural addition na namba hiyo ndio inayoongoza kila tukio,taarifa,sababu na chanzo cha kila husika wa namba hiyo.
Hivyo hesabu zote duniani ziko based on nine number...1,2,3,4,5,6,7,8,9...namba zinazobaki zote zinakua ni marudio tu ya hizo roots number.
Kutokana na elimu ya namba,kwa ujumla wake namba zimegawanywa katika makundi makubwa mawili.
Single number ( inayotawala muonekano wa njee),compound number inayotawala ( muonekano fiche)
 
Katika haya Maisha ya ulimwenguni kuna code ambazo ni ngumu kuzielewa.


Wapo wanaotumia namba kufanikisha mambo yao hawa hauwezi kuwakuta kanisani au msikitini .

Hawa wanajua kwenda sawa na mitetemo ya kila mwaka.

Kuna hawa wengine wao wanaamini katika maombi tu yawe maombi ya giza au nuru .


Na kuna wengine huambii kitu kuhusu karma .

Nimejiuliza hili swali baada ya mama mdogo wangu ambaye ana pesa Ila alikuwa monster (mnyama) anashiriki ibada za kishirikina na kuchukia watu.


Leo amekuwa mtu wa kuhangaika katika kila makanisa akiamini alilogwa na wabaya wake .



Ila Mimi baada ya kum so ma @Psachal Mayalla


Nimegundua hizo ni karma ubaya umeamua kumrudia .
Mimi nadhani Ulimwengu huu hauendeshwi na kitu chochote. Sio namba, sio maombi, sio karma. Ulimwengu unajiendesha wenyewe.

Namba, maombi, karma, muda, Mungu, mema na mabaya nk ni vitu ambavyo sisi binadamu tumeviunda tu kwa akili zetu ili kujaribu kueleza mambo mbalimbali yanayotokea, lakini havi exist nje ya akili zetu wala havina effect yoyote kwenye ulimwengu huu.

Kabla sisi hatujakuwepo ulimwengu ulikuwepo, na sisi wote tutaondoka na nadharia zetu na kuuacha ulimwengu hapa hapa.
 
Elimu ya namba ni pana sana,na ukiisoma inakufanya uweze kuamini kuwa kweli Mungu yupo na dunia yetu sio iliyotokana na milipuko kama Bing Bang Theory inavyotuambia.
Elimu kubwa za namba kama Mwenyezi Mungu muumba akikupa kipaji cha kuijuaa vizuri elimu hii ya Namba unaweza kujua hatma yote ya maisha yako mpaka siku yako ya mwisho,kwa bahati mbaya wachache sana wanaobarikiwa kuifikia hiyo daraja.
 
Elimu ya namba ni pana sana,na ukiisoma inakufanya uweze kuamini kuwa kweli Mungu yupo na dunia yetu sio iliyotokana na milipuko kama Bing Bang Theory inavyotuambia.
Elimu kubwa za namba kama Mwenyezi Mungu muumba akikupa kipaji cha kuijuaa vizuri elimu hii ya Namba unaweza kujua hatma yote ya maisha yako mpaka siku yako ya mwisho,kwa bahati mbaya wachache sana wanaobarikiwa kuifikia hiyo daraja.
Kuna kitabu nimeanza kusoma mda sana kinaitwa numelogy..
 
Elimu ya namba ni pana sana,na ukiisoma inakufanya uweze kuamini kuwa kweli Mungu yupo na dunia yetu sio iliyotokana na milipuko kama Bing Bang Theory inavyotuambia.
Elimu kubwa za namba kama Mwenyezi Mungu muumba akikupa kipaji cha kuijuaa vizuri elimu hii ya Namba unaweza kujua hatma yote ya maisha yako mpaka siku yako ya mwisho,kwa bahati mbaya wachache sana wanaobarikiwa kuifikia hiyo daraja.
Too deep
 
Back
Top Bottom