Hivi ulimwengu unaendeshwa kwa namba, maombi au karma?

Na habari zako za kuchinja mishangazi endelea kuzifanya siri


Msiishie kugongeana mademu na sigara pia gongeeni na fursa.
Mkuu kingine ambacho ujui kuhusu mashangazi .
Mashaglngaz huwa wanapitia wakati mgumu sana wee ujui tuu...

Imagine wale wazee wa rika lao wanakua bize na vitoto vya 2000...
Unazani wanakimbilia wapi mkuu

Tunachofanya sisi mkuu ni kuokoa jahazi
 
Vitabu viko vingi sana mkuu vya numelogy sababu watu wengi wamefanyia research na kuandaa vitabu na majarida mengi kuhusu elimu hiyo...shida yetu Watanzania/ Waafrika wengi hatuna utamaduni wa kusoma vitabu
Kweli mkuu.
Kusoma kitabu yataka Moyo sana mkuu an kwanza lugha tuu unaweza kuchoka.

Sema mimi nasomaga nikiwa nimefanya kazi zangu nimechokaaa ndo nagusa hv vitabu
 
Tatizo binadamu tunajipa umuhimu sana kwenye mipango ya ulimwengu (universe)

Yaani matrilioni na matrilioni ya sayari na nyota (jua/Majua) ziendeshwe kwa maombi au karma za binadamu ambao wamekaa kwenye moja kati ya hayo matrilioni na matrilioni ya sayari ?!

Ukweli ni kwamba ulimwengu haujali na hata kesho milima na mabonde ya hii dunia yakifunikana na sisi tukatoweka ulimwengu hautagundua hata kama hatupo maana kile kitakachotutokea ni kidogo na sio cha kustaajabu sana (yanakufa Majua kwa milipuko isiyoelezeka sembuse hichi kijiwe chetu tunakiita Dunia)
 

ALLAH [THE ALMIGHTY, THE ALL POWERFUL, THE ONE AND ONLY , ONE WHO IS NEITHER BEGET NOR BEGOTTEN ]
 
Wewe ndio umetenganisha ila muunganiko wa hayo yote na mengineyo, yanahusika kwa pamoja.

Namba inatumika sana kwenye muda na nyakati... Kila jambo na wakati wake, ndio maana kwenye vifaa kama saa namba zake zimepinduka au saa nyingine zinatumia mshale badala ya namba yenyewe halisi.

Kwenye karenda wanatumia majina kuwakilisha vitu vinavyohesabika why.!?

Kwanini Yani! saa mbili kamili waandike 08:00.?
 
tupe ABCD mkuu, unatumia namba kwa namna gani. Ukituelekeza na vitabu au wajuzi wa hayo mambo tuwatafute kunako online
Nimetuma kitabu mkuu...
Kusema how na use number ni ngumu..

Mkuu kuna mambo yanapatikana deep sio kwa kusimuliwa simuliwa..
Pitia kitabu hapo somaaaaa

Pata utulivu utagundua kitu
 
Jiulize maswali magumu kuhusu namba....Why Ten commandment?? Why nine Planets? Why 7 days of creation?...
Maswali hayo yatakusaidia sana kujua siri za namba na jinsi zinavyo influence maisha yetu.
 
Umetisha mkuu kwamba ma-trillions yote ya sayari ulimwenguni afu kuna mwamba mmoja yupo nangulukulu anaomba Mke mwema😁😁😁

Mkuu tunachangamsha kijiwe chetu kisipoe wala kisiboe.

Ila bado kunatumaini huu ulimwengu umeungana katika level flani, kuna masuala ya quantum entanglement, quantum consciousness, collective consciousness... Na kupitiaa principle of supper position hapa ndipo utaona namna gani maombi, meditation na maswala mengine yanafanya kazi.

Unaweza ukapuuzwa na hata uwepo wako duniani usitambulike... Ila pindi utapogusa masrahi ya mkubwa hapo ndipo utakapo pata attention.

Fikiria hawa microorganisms bacteria fungi virus nk walikua hawajulikani, hiyo haitoshi hawa viumbe hawaonekani kabisa kwa macho... Ila pindi tu walipo mess up na shughuli za binadamu hasa mwili wa binadamu wamejulikana in and out.
 
ALLAH [THE ALMIGHTY, THE ALL POWERFUL, THE ONE AND ONLY , ONE WHO IS NEITHER BEGET NOR BEGOTTEN ]
Mkuu umeona hapo umedeal na number?? sasa bila utulivu unaweza dhani hiyo "The One" ni neno la kawaida kabisa but katika uhalisia wa elimu ya number ni neno lenye nguvu kubwa mno na kubeba maana pana sana ya maisha ya huu ulimwengu
 
Endelea kutupa elimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…