Hivi ulishajiuliza ingekuwa hivi ingekuwaje?

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
33,894
Reaction score
76,810
Member wa jukwaa kwema!
Kuna vitu au mambo fulani hutendeka/hutendwa na tunayachukulia kawaida tuuu. Ila hivi ulishajiuliza hayo hayo mambo tunayoyachukulia kawaida yangetendeka au kutendwa sehemu zingine na watu tofauti na waliyoyatenda ingekuaje [emoji23][emoji23]?

Mfano1 : track ya WAPO ya Ney angeifanya HAMORRAPER halafu akaitwa central polisi na mlolongo mzima wa kuitwa na waziri hivi ingekuaje[emoji23][emoji23]? Kwa ishu ya NAPE tu kidogo ajitoe meno kwa mbio. Sasa kama yeye ndiye aliyekamatwa ingekuwaje? ????

Na wewe Karibu tuambie ingekuwa hivi ingekuwaje.
 
Nimeupenda huu wa no 2 aisee...
 
Hivi jpm anavyochukia mitandao na kila siku anavyolaumu wale wanaojadili watu nadhani ingetokea akawa [HASHTAG]#Mod[/HASHTAG] wa jamii forum angehakikisha member wote wa celebrity forum wanapigwa ban za maisha
 
Hivi jpm anavyochukia mitandao na kila siku anavyolaumu wale wanaojadili watu nadhani ingetokea akawa [HASHTAG]#Mod[/HASHTAG] wa jamii forum angehakikisha member wote wa celebrity forum wanapigwa ban za maisha
Sio team UKAWA tena wa celebrity? ?[emoji16][emoji16]


Hapo nmekuelewa kwamba hivi JPM angekuwa mod JF INGEKUWAJE? ?[emoji23][emoji23]
 
Utanipeperushia mtoto wangu mpya wa JF Inna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…