Hivi ulishajiuliza ingekuwa hivi ingekuwaje?

Hapana bwana.
Unamjua mudi mmoja anampigaga ban the bold? Walikuwa wanamgombania mtoto cheupe Nifah .. ila huyu mtoto nngoja tu siku The bold ameteme.. nitamchukua juu kwa juu
Tatizo harakati zako ndugu ni kama za PIMBI. Yaani na kuhudhuria kote pm za watoto umekosa hata wa kumvusha hizi server za Mike na Maxence daah
 
Naomba nifanye hivi mkuu [emoji680] itafaa sana.
 
Cc: mahondaw
 
Kwan ingekua vip kam memberz wote wangetumia id halis,umri,ukoo,jina,jinsia,na kama una mke/mume,na unapoishi ingekua vip??
Usuper staa umatawi ya juu kujifanya wazuri kujifanya wana pesaa kwa baadhi ya memba kungeisha kwani ningejua yule ni KIBORI NANGAAYA na yule ni anyosisye kamtombeleza wa tukuyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…