Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Nchi za jirani kama Kenya, Malawi na Zambia hata zisizo jirani kama vile Botswana wameangusha vyama tawalaa.
Soon, Afrika ya Kusini na Msumbiji wanaweza kujikomboa na vyama hivi manyang'au.
Je umewahi kujiuliza itakavyokuwa Tanzania bila ya CCM?
Je ungetaka mafisadi wa CCM washughulikiwe vipi?
Soon, Afrika ya Kusini na Msumbiji wanaweza kujikomboa na vyama hivi manyang'au.
Je umewahi kujiuliza itakavyokuwa Tanzania bila ya CCM?
Je ungetaka mafisadi wa CCM washughulikiwe vipi?