Hahaha binafsi nadhani kuwa ccm tayari unakuwa muhaini, Maana Mi CCM inawaza kuiba, na kulifilisi taifa kwa urafi na ubinafsi wao na familia zao.
Hivyo ikiwa yataondolewa madarakani, yale matawala majizi tuyakamate tukayafunge gereza moja yote, na kazi ngumu, tuyafilisi mali zote za ndani na nje ya nchi zitafutwe kokote ziliko zirudishwe nchini, Familia zao tuwape mashamba walime pia mpaka kulipa deni la Taifa lote.
Hakuna huruma hata kidogo.