Narumu kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,888
- 4,489
Ukiona umati mkubwa wa vijana wanataka mabadikiko kweki kweli, hali ni ngumu mtaani, ajira ni ngumu sana, biashara ni ngumu, kazini mishahara haikidhi mahitaji ya soko, wanaonufaika na uchumi wa kati ni wachache, hosptalini hata panadol ni adimu.
Lakini kama hatujui tunalofanya tutaweza kuyapata mabadikiko? Hivi umati wote wanaomshabikia Lissu ni wapiga kura? Je, wanavyo vitambulisho vya kura? Je, upinzani unafahamu umuhimu wa tume huru? Je upinzani wanafahamu uandikishaji wa daftari la kudumu la mpiga kura haliko updated?
Si kwa sasa labda 2030 kidogo upinzani unaweza ukawa na nguvu. Ieleweke nguvu si watu pia katiba mpya na maboresho ya daftari la kura ni nguvu kubwa pia.
Lakini kama hatujui tunalofanya tutaweza kuyapata mabadikiko? Hivi umati wote wanaomshabikia Lissu ni wapiga kura? Je, wanavyo vitambulisho vya kura? Je, upinzani unafahamu umuhimu wa tume huru? Je upinzani wanafahamu uandikishaji wa daftari la kudumu la mpiga kura haliko updated?
Si kwa sasa labda 2030 kidogo upinzani unaweza ukawa na nguvu. Ieleweke nguvu si watu pia katiba mpya na maboresho ya daftari la kura ni nguvu kubwa pia.