๐ง Dunia inaongozwa na watu wanao fikiri tofauti na wengine.
๐ง Ukihitaji kuongoza katika sekta Fulani labda tuseme kiuchumi lazima ufikiri tofauti.
๐งMfano pale watu wanapo sema ng'ombe wa masikini hazai wewe ili ufanikiwe fikiri tofauti na msemo huu.
โ๐ฟ Huwa napenda sana kusoma historia za watu na mataifa mbalimbali . Nakumbuka kuanzia karne ya 7-18 waarabu ndo walikuwa wana amini kwamba wao ndo wana uwezo mkubwa kuliko kila watu wengine na kweli dunia ikaamini kuwa warabu wana uwezo sana ,ikapelekea mataifa ya ulaya,afriaka kutawaliwa na mwarabu kiuchumi, kisiasa na kijamii.
๐๏ธ Ilipo fika karne ya 18 wazungu nao waka anza kufikiri tofauti " walikiri kwamba haiwezekani wao wakashidwa kumiliki uchumi wa dunia "
๐๐ฝ Watu kama Vasco dagama, living stone na wengineo waka anza kutafuta njia za kujikwamua kiuchumi๐๐๐ ndo wakabuni njia mbalimbali za kulikabili hili tatizo .......... Mwisho empare ya kiarabu ikafa, na wazungu wakaanzisha empare zao na kusambaa zaidi hadi Leo wana miliki uchumi wa dunia ". Ok
Ili upate kufanikiwa fikiri tofauti
๐ฃ๏ธ ZIFATAZO NI NJIA ZITAKAZO KUFANYA UFIKIRI TOFAITI
1. Fikiri kutatua tatizo sio kilicho sababisha tatizo
๐งโโ๏ธ Vasco dagama na wengineo hawa kuanza kufikiri kwa nini hatumilik uchumi? Ila walifiki tunamiliki je uchumi wa dunia?
โ๐ฟ Ukianza kufikiri kinacho sababisha tatizo unajirudisha nyuma, kingene unaweza ukagundua kitu Fulani ndo kina sababisha tatizo kumbe sicho๐๐ Achana na ya nyuma fikiri namna ya kulitatua tatizo.
๐ค Leo kuna ukosefu wa ajira ni muda wa kufikiri tuna tatua je tatizo hili?
2. Ifikirie kesho zaidi
โ๐ฟโ๐ฟ Ukiiwaza kesho itakuwa je ni njia nyepesi ya kukufanya wwe kufikiri tofauti na wengine mfn kama wewe kijana utakuwa unafikiri mwaka ujao utakuwa na familia , hivi utumiaji wa pesa utakuwa sawa ba mtu asiye fikiria kesho kuwa na familia?
Ukisha waza kesho utakuwa na familia lazima utaanza kufikiri namna gani utaitunza hiyo familia kulingana na malighafi chache ulizo nazo๐๐ daima utafanya vitu vya tofauti.
3. Fikiri kushinda sio kushindwa
๐ง Watu wanao fikiri kushinda daima ndo wanaiongoza dunia , ni ngum sana kuona mtu anae fikiri kushindwa kuiongoza dunia ๐คซ๐คซ mfn mdgo mkiwa darasani kuna wale watu wa mwisho wale hivi wale wanafikiriaga kushinda? Je mtu wa kwanza darasani nae huwa anafikria kushulindwa?
๐ซ wapo wengi wanao sema Mimi Biashara siwez, udaktari si uwezi๐๐ hawa hawawezi kuiongoza dunia.badili uwezo wako kuanzia sasa.
Imebaki mbinu 1
๐ Tumeumbwa sisi wanadamu kuiongoza dunia kwa kutatua matatizo yanayo ikabiri dunia, kufikiri kutoshindwa, kufikiri kesho yake hata vitabu vya dini vya angiza hivyo๐๐
Usibeze uwezo wako
๐ง Ukihitaji kuongoza katika sekta Fulani labda tuseme kiuchumi lazima ufikiri tofauti.
๐งMfano pale watu wanapo sema ng'ombe wa masikini hazai wewe ili ufanikiwe fikiri tofauti na msemo huu.
โ๐ฟ Huwa napenda sana kusoma historia za watu na mataifa mbalimbali . Nakumbuka kuanzia karne ya 7-18 waarabu ndo walikuwa wana amini kwamba wao ndo wana uwezo mkubwa kuliko kila watu wengine na kweli dunia ikaamini kuwa warabu wana uwezo sana ,ikapelekea mataifa ya ulaya,afriaka kutawaliwa na mwarabu kiuchumi, kisiasa na kijamii.
๐๏ธ Ilipo fika karne ya 18 wazungu nao waka anza kufikiri tofauti " walikiri kwamba haiwezekani wao wakashidwa kumiliki uchumi wa dunia "
๐๐ฝ Watu kama Vasco dagama, living stone na wengineo waka anza kutafuta njia za kujikwamua kiuchumi๐๐๐ ndo wakabuni njia mbalimbali za kulikabili hili tatizo .......... Mwisho empare ya kiarabu ikafa, na wazungu wakaanzisha empare zao na kusambaa zaidi hadi Leo wana miliki uchumi wa dunia ". Ok
Ili upate kufanikiwa fikiri tofauti
๐ฃ๏ธ ZIFATAZO NI NJIA ZITAKAZO KUFANYA UFIKIRI TOFAITI
1. Fikiri kutatua tatizo sio kilicho sababisha tatizo
๐งโโ๏ธ Vasco dagama na wengineo hawa kuanza kufikiri kwa nini hatumilik uchumi? Ila walifiki tunamiliki je uchumi wa dunia?
โ๐ฟ Ukianza kufikiri kinacho sababisha tatizo unajirudisha nyuma, kingene unaweza ukagundua kitu Fulani ndo kina sababisha tatizo kumbe sicho๐๐ Achana na ya nyuma fikiri namna ya kulitatua tatizo.
๐ค Leo kuna ukosefu wa ajira ni muda wa kufikiri tuna tatua je tatizo hili?
2. Ifikirie kesho zaidi
โ๐ฟโ๐ฟ Ukiiwaza kesho itakuwa je ni njia nyepesi ya kukufanya wwe kufikiri tofauti na wengine mfn kama wewe kijana utakuwa unafikiri mwaka ujao utakuwa na familia , hivi utumiaji wa pesa utakuwa sawa ba mtu asiye fikiria kesho kuwa na familia?
Ukisha waza kesho utakuwa na familia lazima utaanza kufikiri namna gani utaitunza hiyo familia kulingana na malighafi chache ulizo nazo๐๐ daima utafanya vitu vya tofauti.
3. Fikiri kushinda sio kushindwa
๐ง Watu wanao fikiri kushinda daima ndo wanaiongoza dunia , ni ngum sana kuona mtu anae fikiri kushindwa kuiongoza dunia ๐คซ๐คซ mfn mdgo mkiwa darasani kuna wale watu wa mwisho wale hivi wale wanafikiriaga kushinda? Je mtu wa kwanza darasani nae huwa anafikria kushulindwa?
๐ซ wapo wengi wanao sema Mimi Biashara siwez, udaktari si uwezi๐๐ hawa hawawezi kuiongoza dunia.badili uwezo wako kuanzia sasa.
Imebaki mbinu 1
๐ Tumeumbwa sisi wanadamu kuiongoza dunia kwa kutatua matatizo yanayo ikabiri dunia, kufikiri kutoshindwa, kufikiri kesho yake hata vitabu vya dini vya angiza hivyo๐๐
Usibeze uwezo wako