Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Pua-2Binadamu ana matundu Saba
Ebu vitaje mkuu
Pua matundu Mawili, masikio Mawili, mdomo, na sehemu mbili za siriBinadamu ana matundu Saba
Ebu vitaje mkuu
Ufafanuzi kidogo mkuu tupatieila ukienda deep zaid utagundua siku zipo 6. hiyo mpaka uwe mtaalam sana na mbobezi wa mambo.
samahan lakini kwa kuchafua uzi wako.
Siku ni illusion mkuu, leo ni jumatatu lakini hakuna kiashiria chochote tangible or intangible kuonyesha leo Jumatatu,ila ukienda deep zaid utagundua siku zipo 6. hiyo mpaka uwe mtaalam sana na mbobezi wa mambo.
samahan lakini kwa kuchafua uzi wako.
unapozihesabu siku jumapili na jumatatu zinahesabika ni siku moja. kwa sababu zote ni emotional day, yaani ni siku za hisia.Ufafanuzi kidogo mkuu tupatie
Bas mwanamke ana nane, wao sio binadamu?Pua-2
maskio-2
mdomo-1
uume-1
makalioni-1
Totally =7
Taja la nane ni lipi?Bas mwanamke ana nane, wao sio binadamu?
Wale walipoishia Darasa la 7 je wamefika wapi?Tuliozaliwa mwezi wa saba....tutafika mbali
Wanawake matundu 8Pua-2
maskio-2
mdomo-1
uume-1
makalioni-1
Totally =7
Bas mwanamke ana nane, wao sio binadamu?swali zuri sana
Tuna matundu 8 momHuyo atakua mwamamke wako tu.....
Kwenye uke kuna matundu mawili, tundu la mkojo ni tofauti na lile linaloingia uumeTaja la nane ni lipi?
La nane lipi zaidi ya hayo yalosemwa hapo juuTuna matundu 8 mom
Hahaha. Kwahiyo inamaana gani? Hahaha, daah.Pua-2
maskio-2
mdomo-1
uume-1
makalioni-1
Totally =7