QUEEN SHAKIRA
Member
- Oct 22, 2019
- 38
- 69
Nimekaa hapa nakunywa chai yangu na kiporo, ghafla kaja shoga yangu hatujaonana miaka mingi. Anasukuma mgari, kapendeza huyo. Full kujidai!
Nikijiangalia basi nliivyopuyanga, full kupauka. Kwakweli mimi hata sijui hata nielezeje hisia hizi.
Ila wala sina wivu. Bali hisia fulani za kuumiza sijui nizielezeje.
Vipi wewe ukiwaona classmates wako, street mate au hata playmates wa udogoni wameyapatia maisha we umekwama unajisikiaje?
Kuna madogo umewaacha shule ya msingi leo wamekupita mafanikio unajisikiaje?
Nikijiangalia basi nliivyopuyanga, full kupauka. Kwakweli mimi hata sijui hata nielezeje hisia hizi.
Ila wala sina wivu. Bali hisia fulani za kuumiza sijui nizielezeje.
Vipi wewe ukiwaona classmates wako, street mate au hata playmates wa udogoni wameyapatia maisha we umekwama unajisikiaje?
Kuna madogo umewaacha shule ya msingi leo wamekupita mafanikio unajisikiaje?