Hivi unajisikiaje ukimuona mwenzio katoboa wewe unapuyanga?

Mi ningempiga mzinga anipe buku 20 nikapige serengeti lite kupunguza mawazo
 
Utajiassess vipi bila kujilinganisha na wenzio? mimi naona ni sawa tuu tena inakupa challenge na kupambana zaidi
Mtoa mada nazungumzia ill feelings unazoipata bali unapogundua mwenzako amefanikiwa,na wewe unachozungumzia ni wivu wa maendeleo,kwani kama unaumia tu na huna wivu wa maendeleo utabaki hapo ulipo na hiki ndicho anachozungumzia yeye kuwa hana wivu...
 
Tofauti zipo tu. Ndio maana hata vidole havilingani. Jambo la msingi ni kuwa na game-plan na kuifanyia kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…