Hivi unajisikiaje unapoanzisha uhusiano mpya.

Bongemzito

Senior Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
162
Reaction score
19
Ningependa kupata hisia za watu tofauti wanapoanzisha uhusiano mpya..
 
Huwa moyo unadunda sana kama ishara ya aidha kukubaliwa au kukataliwa!
 
Huwa moyo unadunda sana kama ishara ya aidha kukubaliwa au kukataliwa!
Mzee PJ najua hapa unatupa mawaidha ila wewe ulishasahau kuanzisha mahusiano mapya toka umpate mamayeyoo. Thanx
 
uhusiano mpya wallah ni mzuri mkianza na mwendo mzuri lakini ni sumu ya kukudhuru mmojawapo akajabadilika baadae,,i wish u all dah best...
 
Huwa moyo unadunda sana kama ishara ya aidha kukubaliwa au kukataliwa!

Hasa pale unapotoka nae kwa mara ya kwanza yaan kama unampenda kwa sana unajiisi kama vile upo peke yako duniani..
 
hasa ile siku ya kwanza mnapokuwa kwa room.loh........!unakuwa na matarajio makubwa sana pindi unapomwona mwenzio live bila zengwe na ukijaribu kulinganisha na mpenzi wako wa nyuma
 
Duh pale mnapokutana kwa mara ya 1 kula tundi huwa najihisi kama sitafika mshindo vile, lakini inakuwa kinyumbe chake badala ya kufiki mshindo na fika likishindo
 
Shauku kwa sana, confidence kiasi na kumsoma pia
 
Baby, darling, dear, my love, sweetheart huwa nyingi sana. Ipe muda tu zinapotea zote
 
Swali tamu hilo. in short kuna utamu wa ajabu unapoanzisha uhusiano mpya na macare yanakuwepo ya kutosha but mkishajuana kila m2, duh hapo ndo kazi inapoanzia utackia macre yamepungua.

Ningependa kupata hisia za watu tofauti wanapoanzisha uhusiano mpya..
 
Teh teh teh......!!!!
Pia unakasoma na katabia kake ndo inakuwa inabore ile mbaya.

hasa ile siku ya kwanza mnapokuwa kwa room.loh........!unakuwa na matarajio makubwa sana pindi unapomwona mwenzio live bila zengwe na ukijaribu kulinganisha na mpenzi wako wa nyuma
 
mimi huwa nasikia uoga furani na ndio maana sipendi mahusiano mapya niliye naye ananitosha nampenda kwa dhati naye ananipenda sasa sikia usipende kuanzisha mahusiano mapya unaweza ukawa huna msimamo simama hapo na ngangania usiachie
 
Mahusiano mapya ni raha sana. Kila mmoja anakuwa anaficha tabia zake mbaya, kwa wanaume huwa wanaonesha kujali sana. Ni sawa sawa na unapopata kazi mpya. Utajifanya mtiifu zaidi mwanzoni ila ukishayasoma mazingira na kuyazoea unashangaa bosi anakutangulia kufika kazini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…