JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Unawaza sana ndoa. Pole sana, unahitaji msaada wa saikolojia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanangu wa mwisho alipata PhD mwaka 2019! Acha masuala ya kuoa hadi upate PhD kijana. Wanawake waliwekewa hiyo kitu waliwe na wanaume waliwekewa wale.2007 - 4m4
2007/Oct - 2010/July = Cert = 1 Yr + Dip 2 Yrs.
Sijasema lolote kuhusu lini nilipata Bach + Masters.
Ila .........
2014 - 2019 niliunga bachelor + masters
Bach = 3Yrs (Oct/2014 - Aug/2017)
Masters = 2Yrs (Nov/2017 - Oct/2019).
Hapa nilipo Kuna mazaga zaga nafanya ili 2022 au 2023 nikishindwa kabisa basi 2024 lazima = Nipande ndege nikaingie darasani kusoma PhD.
Soma kijana somaaaa
Tafuta hela kijana tafuta helaaa.
Achana na KUOA.
#YNWA
Refer post #7Unawaza sana ndoa. Pole sana, unahitaji msaada wa saikolojia.
Kwahiyo mnaoa mkijua kabisa Kuna KUTOMBEW*?Wewee oa mambo mengine utakutana nayo hukohuko ndani upambane nayo wewe ni mwanaume, acha zinaa!
Nilizaliwa familia ya mfanyabiashara mwenye ndoa.Sorry mkuu, wazazi wako hawakuoana?! Wewe ni mtoto wa nje ya ndoa au mtoto wa single mother? Au mtoto wa muuzaji?
Ngoja utombew* then utoe macho kama hiyo a avatar..!!"Ndoa na iheshimiwe na watu wote"
SIOI SIOI SIOI hata nije kuwa Prof. SIOIMwanangu wa mwisho alipata PhD mwaka 2019! Acha masuala ya kuoa hadi upate PhD kijana. Wanawake waliwekewa hiyo kitu waliwe na wanaume waliwekewa wale.
Mnaoa mkijua kabisa mnatombew*.Unapoishi katika jumuia ya kulana lazima, kama msomi, ujifunze jinsi ya kukabiliana na hali ilivyo si kukwepa majukumu. Acha walane maofisini ili mradi arudi salama nyumbani nawe ukaoshe tu
Hao uliowataja unawasikia wakihubiri na kuinspire wengine wasioe? Wapo huru regadless na marriage status. Wewe haupo huru, umefungwa na ndoa japo hujaoa na hutaki ndoa.Refer post #7
#YNWA
SIOI SIOI SIOI hata nije kuwa Prof. SIOI
Nikukulana tu KUOA HALAFU..!!!
Mnaoa mkijua kabisa mnatombew*.
Ninaposikia haya maneno Huwa NAWAONEA SANAA HURUMA mlioamua kuyakumbatia matatizo.
#YNWA
SIOI SIOI SIO SIOHao uliowataja unawasikia wakihubiri na kuinspire wengine wasioe? Wapo huru regadless na marriage status. Wewe haupo huru, umefungwa na ndoa japo hujaoa na hutaki ndoa.
Hiyo post ni uhakiki wa namna ubongo wako ulivyotawaliwa na neno NDOA.
Unahitaji kusaidika si kwa sababu hutaki kuoa bali kwa sababu ubongo wako umetawaliwa na Ndoa.
Wewe ni mfungwa wa ndoa ndio maana kwako usioe ndio wimbo wa maana katika maisha yako.
Regardless ni mwanamke basi ANANYANDULIW*Kwahiyo hao mabosi wake zao ndo hawaliwi?
Usioe usioe usioeSIOI SIOI SIO SIO
SITOA SITOA SITIO
SUTAKI KUOA SITAKI KUOA.
#YNWA
Kuna bosi mmoja yupo huku kazini akiona tu huendani na mawazo yake ANAKUPELEKA KWA HR AKULIME BARUA.Saikoloji saikoloji saikoloji
Unahitaji daktari daktari daktari
Wewe ni mtumwa wa ndoa wa ndoa wa ndoa
Mahubiri mema mgonjwa.