Hivi unajua ni kiasi gani bosi wa ofisi anayofanyia mkeo anavyomla mkeo?

Hivi unajua ni kiasi gani bosi wa ofisi anayofanyia mkeo anavyomla mkeo?

2007 - 4m4

2007/Oct - 2010/July = Cert = 1 Yr + Dip 2 Yrs.

Sijasema lolote kuhusu lini nilipata Bach + Masters.

Ila .........

2014 - 2019 niliunga bachelor + masters
Bach = 3Yrs (Oct/2014 - Aug/2017)
Masters = 2Yrs (Nov/2017 - Oct/2019).

Hapa nilipo Kuna mazaga zaga nafanya ili 2022 au 2023 nikishindwa kabisa basi 2024 lazima = Nipande ndege nikaingie darasani kusoma PhD.

Soma kijana somaaaa
Tafuta hela kijana tafuta helaaa.

Achana na KUOA.

#YNWA
Mwanangu wa mwisho alipata PhD mwaka 2019! Acha masuala ya kuoa hadi upate PhD kijana. Wanawake waliwekewa hiyo kitu waliwe na wanaume waliwekewa wale.

Unapoishi katika jumuia ya kulana lazima, kama msomi, ujifunze jinsi ya kukabiliana na hali ilivyo si kukwepa majukumu. Acha walane maofisini ili mradi arudi salama nyumbani nawe ukaoshe tu
 
Wewee oa mambo mengine utakutana nayo hukohuko ndani upambane nayo wewe ni mwanaume, acha zinaa!
Kwahiyo mnaoa mkijua kabisa Kuna KUTOMBEW*?

Yaani unabet ukijua kabisa NALIWA..!!!

Sorry mkuu, wazazi wako hawakuoana?! Wewe ni mtoto wa nje ya ndoa au mtoto wa single mother? Au mtoto wa muuzaji?
Nilizaliwa familia ya mfanyabiashara mwenye ndoa.
Umasikini uliingia alivyokufa baba na baadae mama (mama alimfata baba after 1 Yr).

Waliniacha nikiwa mdogo sanaa (darasa la pili).

Maisha ya uyatima nyoko sanaa, pale ndio nilijifunza kutafuta hela Kuna umuhimu sanaaa ila SIO KUOA...!!!

#YNWA
 
Mwanangu wa mwisho alipata PhD mwaka 2019! Acha masuala ya kuoa hadi upate PhD kijana. Wanawake waliwekewa hiyo kitu waliwe na wanaume waliwekewa wale.
SIOI SIOI SIOI hata nije kuwa Prof. SIOI

Nikukulana tu KUOA HALAFU..!!!
Unapoishi katika jumuia ya kulana lazima, kama msomi, ujifunze jinsi ya kukabiliana na hali ilivyo si kukwepa majukumu. Acha walane maofisini ili mradi arudi salama nyumbani nawe ukaoshe tu
Mnaoa mkijua kabisa mnatombew*.

Ninaposikia haya maneno Huwa NAWAONEA SANAA HURUMA mlioamua kuyakumbatia matatizo.

#YNWA
 
Refer post #7

#YNWA
Hao uliowataja unawasikia wakihubiri na kuinspire wengine wasioe? Wapo huru regadless na marriage status. Wewe haupo huru, umefungwa na ndoa japo hujaoa na hutaki ndoa.

Hiyo post ni uhakiki wa namna ubongo wako ulivyotawaliwa na neno NDOA.

Unahitaji kusaidika si kwa sababu hutaki kuoa bali kwa sababu ubongo wako umetawaliwa na Ndoa.

Wewe ni mfungwa wa ndoa ndio maana kwako usioe ndio wimbo wa maana katika maisha yako.
 
SIOI SIOI SIOI hata nije kuwa Prof. SIOI

Nikukulana tu KUOA HALAFU..!!!

Mnaoa mkijua kabisa mnatombew*.

Ninaposikia haya maneno Huwa NAWAONEA SANAA HURUMA mlioamua kuyakumbatia matatizo.

#YNWA

It’s seems you are so depressed
Amin unachoamin mkuu na jus live your life to the fullest
Ndoa sio mafanikio na sio lazima
Usilazimishe kila unachoamini na wengine waamini
 
Hao uliowataja unawasikia wakihubiri na kuinspire wengine wasioe? Wapo huru regadless na marriage status. Wewe haupo huru, umefungwa na ndoa japo hujaoa na hutaki ndoa.

Hiyo post ni uhakiki wa namna ubongo wako ulivyotawaliwa na neno NDOA.

Unahitaji kusaidika si kwa sababu hutaki kuoa bali kwa sababu ubongo wako umetawaliwa na Ndoa.

Wewe ni mfungwa wa ndoa ndio maana kwako usioe ndio wimbo wa maana katika maisha yako.
SIOI SIOI SIO SIO
SITOA SITOA SITIO
SUTAKI KUOA SITAKI KUOA.

#YNWA
 
SIOI SIOI SIO SIO
SITOA SITOA SITIO
SUTAKI KUOA SITAKI KUOA.

#YNWA
Usioe usioe usioe
Kutooa ni uchaguzi uchaguzi uchaguzi
Ila wewe una matatizo matatizo matatizo
Kutooa kumekutawala kutawala kutawala
Unatatizo la Saikoloji saikoloji saikoloji
Unahitaji daktari daktari daktari
Wewe ni mtumwa wa ndoa wa ndoa wa ndoa
Mahubiri mema mgonjwa.
 
Saikoloji saikoloji saikoloji
Unahitaji daktari daktari daktari
Wewe ni mtumwa wa ndoa wa ndoa wa ndoa
Mahubiri mema mgonjwa.
Kuna bosi mmoja yupo huku kazini akiona tu huendani na mawazo yake ANAKUPELEKA KWA HR AKULIME BARUA.

.......🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️.........

#YNWA
 
Muangalie na vitu vya kumotiveti watu! Ina mana mke kunyanduliwa nje imekuwa jambo la ajabu kias kwamba tubadili imani zetu kuhus ndoa!?? Ina make sense!? We kama umeamua usioe subiri unachosubiri... Sisi tunaoa na kunyanduliw wanyanduliweee.. Na sisi mabeki tatu tutawanyandua! Na tukikufumania n mke wa mtu tunahakikisha unanyanduliwa.. Simpo
 
Back
Top Bottom