Hivi unamjua huyo Eruc Oslon? Ambaye wa Rusi wa Tandale wanasema ni Mjeshi wa NATO alokamatwa Ukraine? Ni uongo Huyo jamaa ni ;

Hivi unamjua huyo Eruc Oslon? Ambaye wa Rusi wa Tandale wanasema ni Mjeshi wa NATO alokamatwa Ukraine? Ni uongo Huyo jamaa ni ;

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Mwanajamvi . Hivi unamjua huyo Eric Oslon Ambaye wa Rusi wa Tandale wanasema ni Mjeshi wa NATO alokamatwa Ukraine? Ni uongo
Huyo jamaa ni ;
- four star General, halafu was the tallest in the Navy SEAL (wakati huyo hapo mbele ya hao Russians andunjes anaoneka mufti

- Olson anajulikana zaidi kama “the most important man you’ve never heard of”

- katika muongo uliopita ndiye amekua brain ya military operations nyingi.

  • Tafuta kampuni iitwayo ETO Group, huyo ndiye President wake.
  • Nenda pale Columbia University’s School of International and Public Affairs utamkuta pale kama Part time professor

  • Pia, ni director of Iridium Communications
  • Director wa Special Operations kwenye Warrior Foundation.


B5F20849-15B7-4DF9-9EDD-4C4C01A1026E.jpeg




Britanicca
 
kijeba kapagawa. watu hawamsikilizi na vitisho vyake vya kizaman wamevisanukia andunje haamini anacho kiona
 
kijeba kapagawa. watu hawamsikilizi na vitisho vyake vya kizaman wamevisanukia andunje haamini anacho kiona
Alafu Leo wanasema kwamba Wa ukraine wamejisalimisha ndiyo Lakin wameshinda maana victory day ishapita

Mimi sasa hivi hata wakijisalimisha wote wala sioni kama kutakuwa na mpya, sababu lengo la victory day lilishakamilika.
Pili, hawawezi wakawa ma enough supplues za kuweza ku hold mule for long enough.
Kijeshi wanatakiwa kujisalimidha sababu hakuna namna, wataishia kufa kwa magonjwa ma njaa.
 
Mwanajamvi . Hivi unamjua huyo Eric Oslon Ambaye wa Rusi wa Tandale wanasema ni Mjeshi wa NATO alokamatwa Ukraine? Ni uongo
Huyo jamaa ni ;
- four star General, halafu was the tallest in the Navy SEAL (wakati huyo hapo mbele ya hao Russians andunjes anaoneka mufti

- Olson anajulikana zaidi kama “the most important man you’ve never heard of”

- katika muongo uliopita ndiye amekua brain ya military operations nyingi.

  • Tafuta kampuni iitwayo ETO Group, huyo ndiye President wake.
  • Nenda pale Columbia University’s School of International and Public Affairs utamkuta pale kama Part time professor

  • Pia, ni director of Iridium Communications
  • Director wa Special Operations kwenye Warrior Foundation.


View attachment 2228206



Britanicca
Ngoja NATO waje kujibu
 
Mwanajamvi . Hivi unamjua huyo Eric Oslon Ambaye wa Rusi wa Tandale wanasema ni Mjeshi wa NATO alokamatwa Ukraine? Ni uongo
Huyo jamaa ni ;
- four star General, halafu was the tallest in the Navy SEAL (wakati huyo hapo mbele ya hao Russians andunjes anaoneka mufti

- Olson anajulikana zaidi kama “the most important man you’ve never heard of”

- katika muongo uliopita ndiye amekua brain ya military operations nyingi.

  • Tafuta kampuni iitwayo ETO Group, huyo ndiye President wake.
  • Nenda pale Columbia University’s School of International and Public Affairs utamkuta pale kama Part time professor

  • Pia, ni director of Iridium Communications
  • Director wa Special Operations kwenye Warrior Foundation.


View attachment 2228206



Britanicca
Walikomalia hili Jambo, utafikiri wameshinda vita[emoji16]
 
Back
Top Bottom