Namwita my dear au mke wangu
Salama aisee lakini, dah sijaoa lakini nikioa nitakuwa namuita jina lakemi sijaoa....
lakini nafikiri ukimuita jina lake in romantic sana!
Salama aisee lakini, dah sijaoa lakini nikioa nitakuwa namuita jina lake
Howz LISA NANAniko kamili ka mjaluo...jina lake inanoga sana
Sie twaitana kwa majina yetu ya kwanza.namwita jina lake
howz lisa nana
My baddfate exists!