Hivi unapata picha/taswira gani ukisoma majina ya members wa JF?

Umesaha kumchamvua
DR. MWAKABANJE ktk post zake umegundua ni mtu wa aina gani?
 
Dr. Mwakabanje M-binafsi sana na unaonesha uliwahi kubaka utotoni mwako
 
Mimi nimegundua wewe dr.mwakabanje huudumii wagonjwa kazi ni kufuatilia ya watu tuu na inaonyesha wewe ni mbea sana hata siri za wagonjwa hiemda unamwaga adharni ukiwa kijiweni[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Id fake lakin ndivo tulivo

Ukiona mtu anajibu hovyo au ana kauli chafu ndivo alivo hata uko mtaan
Sahihi kabisa ✓✓✓✓✓

Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…