Hivi unapata picha/taswira gani ukisoma majina ya members wa JF?

Hivi unapata picha/taswira gani ukisoma majina ya members wa JF?

Umesaha kumchamvua
DR. MWAKABANJE ktk post zake umegundua ni mtu wa aina gani?
 
Dr. Mwakabanje M-binafsi sana na unaonesha uliwahi kubaka utotoni mwako
 
Waungwana tukizingatia kuwa utafiti wa hivi karibuni umeeleza kuwa watanzania hatuna amani, na binafsi nakubaliana na utafiti huo maana kila kukicha afadhari ya Jana, sasa katika kuisaka furaha nimejikuta najiuliza swali hili, je unaposoma jina/username au pengine avata ya member hapa unapata taswira gani juu ya mtu huyo huku ukihusianisha na maada au michango yake hapa JF? Binafsi watu wafuatao kwa mfano nawatafsiri kwa namna zifuatazo;

1. General Galadudu
Mpenda michepuko na hasa wake za watu, we fuatilia mada zake.

2. Lizaboni
Huyu hajitambui na mlamba viatu vya wakubwa.

3. MSHANA Jr.
Mshirikina

4. Evelyn salt
Binti mrembo ila analugha ngumu kama mchimba madini.

5. Miss natafuta
Binti mashauzi wa jf.
6. Monica
Hajielewi na limbukeni wa mapenzi, mara kesho ndoa, mara shahawa zinaunguza duuuu.

Hao ndo baadhi ambao nikiona Nina tu napata taswira hizo juu yao, ongeza na wengine.

NB. Lengo ni kuondo stress za karibu mwezi sasa mara Bashite, mara Nape Mara vitisho duu bora tujijadili tu sasa unapata kondi kwa bando zangu halafu unipangie cha kupost.
Mimi nimegundua wewe dr.mwakabanje huudumii wagonjwa kazi ni kufuatilia ya watu tuu na inaonyesha wewe ni mbea sana hata siri za wagonjwa hiemda unamwaga adharni ukiwa kijiweni[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Id fake lakin ndivo tulivo

Ukiona mtu anajibu hovyo au ana kauli chafu ndivo alivo hata uko mtaan
Sahihi kabisa ✓✓✓✓✓

Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
 
Back
Top Bottom