robbinhood
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 526
- 1,524
Ilikua 2017 nipo mahala na rafiki zangu tunapiga story..ujumbe wa mpnz wng ukaingia ilikua ni picha ...kajipiga kwenye paja lake na Ilionekana Jina langu limeandikwa pale yaan ROBBIN.
bas nikajua ni editing tu ..hata sikureplay,
Siku nakutana nae..tumeanza kusumbuana on bed bt kila nikitaka kutoa trouser ake anagoma..baadae alipo kubal daah [emoji22] skuamin kuona jina lang pale kwa paja lake..(na najijua siwez hata kumuoa)
Hiv ndg zang mnawezaje kufanya ivo?. bas bora hata kwa mtu uliefunga nae ndoa.
Daah [emoji22] sasa sielew kama ile tattoo kma bado ipo..na je bwana ake huyo aliempata alivoona hilo jina kwa paja la mpnz wake alifeel vp?
Why tunafanya ivo au ndio utandawazi!?
bas nikajua ni editing tu ..hata sikureplay,
Siku nakutana nae..tumeanza kusumbuana on bed bt kila nikitaka kutoa trouser ake anagoma..baadae alipo kubal daah [emoji22] skuamin kuona jina lang pale kwa paja lake..(na najijua siwez hata kumuoa)
Hiv ndg zang mnawezaje kufanya ivo?. bas bora hata kwa mtu uliefunga nae ndoa.
Daah [emoji22] sasa sielew kama ile tattoo kma bado ipo..na je bwana ake huyo aliempata alivoona hilo jina kwa paja la mpnz wake alifeel vp?
Why tunafanya ivo au ndio utandawazi!?