robbinhood
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 526
- 1,524
- Thread starter
- #21
uwe na moyo huo sikuzote auntieMi na uzee huu Bado sijawaza kumchora mtu tattoo ila chini ya 20 kaweza!!!! Maajabu hayaishi chini ya jua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uwe na moyo huo sikuzote auntieMi na uzee huu Bado sijawaza kumchora mtu tattoo ila chini ya 20 kaweza!!!! Maajabu hayaishi chini ya jua
Sawasawa ankouwe na moyo huo sikuzote auntie
hahah zinafutwa kwa pasi au
Kumbe bado upo namb DHahahaha Bado sijadoda kufikia kulea mtu mwenye midevu, pyeeeeee
A na silei mtuKumbe bado upo namb D
😄😄A na silei mtu
Mi na uzee huu Bado sijawaza kumchora mtu tattoo ila chini ya 20 kaweza!!!! Maajabu hayaishi chini ya jua
Kisingizio ni ujana, ina maana wengine huwa hawaupitii ujana wanajikuta tu wamezeeka,,🤷Nilinusurika kidogo sana kuchora tattoo mwili wangu kipindi hicho nafanya mazoezi, kifua kifua, mkono mkono, 1999 hiyo. Bahati mbaya, siku nimeenda kuchora, wino umeisha. dah. hadi leo sijachora, ila nilikuwa napenda balaa. Sikio nikatoboa la kushoto, nikaweka na njiti. siku nimetoa njitndio ujana lakini. Kwahiyo siwashangai vijana.i kuja kuja kulicheki limeziba.
Aisee inategemea umekulia mazingira gani. Tuliokulia mazingira ya mtaa ndio shule ya pili, anything is possible. Kwa mtoto wa kike inaweza kuwa ni ngumu, ila kwa kijana wa kiume, sishangai hata kidogo.Kisingizio ni ujana, ina maana wengine huwa hawaupitii ujana wanajikuta tu wamezeeka,,🤷
Ujana unatumika kama kivuli tu cha makosa yenu, kwamba nyie mlioishi mtaa damu zenu zinachemka sana kuliko za vijana wengine!!!Aisee inategemea umekulia mazingira gani. Tuliokulia mazingira ya mtaa ndio shule ya pili, anything is possible. Kwa mtoto wa kike inaweza kuwa ni ngumu, ila kwa kijana wa kiume, sishangai hata kidogo.