Hivi unarudi kazini unamkuta mtoto kafanya hivi utafanyaje?!

kosa ni lako, hiyo ya kwanza ina onyo...weka mbali na watoto
 
Natoka nje kwanza nitafakari na kupata hewa vizuri,maana nikikaa ndani naweza kuzirai
 
ntazmia kwanza nkiznduka cjui itakuaje....pesa kabxa auncle magu mwenyewe anaitafta
 
huyo wa juu itabidi nile mishikaki na kachumbari yenye kapilipili afu tutaelewana
 
Naipeleka Mirembe Maana Hii Itakuwa Chizi Asili Yetu Mtoto Inajua Hela Tangu Siku Yakwanza Kuzaliwa.
 
Sasa ukishampa kipigo mwanao
Hizo pesa ndo zitajiunga??jamani tufikirie kabla ya kutenda,HASARA ROHO PESA MAKARATASI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…