Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
Inaonekana dhana ya uwekezaji unaielewa kwa kina... 😀
kwi kwi kwi Abdul mi naielewa sana lakini ni mjanja sana kama unampa apointment shori anakuja na wapambe 2 dah hapo maumivu mi iwa nampa live pale pale sina uwezo wa kuwagharamia hao ulio kuja nao kama wanaweza wanywe soda au maji waondoke.