Aidanna
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 1,810
- 2,844
Ndy nimeshafikaaa Mjumbe...Ngoja wale wa tafuta hela waje
Nina-comment wapi Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndy nimeshafikaaa Mjumbe...Ngoja wale wa tafuta hela waje
Hiki kiatu nakumbuka kilikuwa kwenye movie moja pale New Chox Cinema, hiyo movie inaanza staring alikuwa akijisaidia mara adui akatokea akataka kumpiga teke, staring akaruka na adui akapiga kinyesi, basi kile kinyesi kikajiandika Bango si Bango usimvae staring maji ya shingo sinema ndiyo inaanza, mara hapo hapo ikawa mapumziko(Interval), Hiyo movie ilikuwa ikiitwa Bootlegger, tatizo ilikuwa na halftime kama 80.
Nimecheka kwa sautiSasa kama alivaa vasco da gama kwa nn nisinunue?
Hata buku kumi sichukui
La kuchumpa.la kiparama.. Bora iyo pesa nikasafishie pori huko sikonge ninunue mbegu ,vifaa, mbolea na mahitaji nikafanye kilimo Cha mpunga ☺️😊😊
Hela za Freemason, hela za Ujambazi, Hela za Kuchota kama ccm wanavyofanya, hela za kuu,a Nyapu au za kuuza Inya huwa ni kawaida sana. Unanunua hata pair tatu
wabongo tunaishi wa survivalSasa kama alivaa vasco da gama kwa nn nisinunue?
Vya kale having kazi huku kwetuwabongo tunaishi wa survival
hatujui mambo ya kutunza vitu vya kale🤣