Certificate sio ndio qualifications zao hizo au?Kichwa cha habari chahusika,Nina kaka angu alimaliza form four miaka ya nyuma na hakuweza kufaulu kuendelea na form five,sasa hivi anawaza kuingia chuo asome sheria ila matokeo yake ana C ya Historia na C ya Civic, Masomo mengine alipata yote D. Je anaweza kuingia Chuo matokeo hayo?
"D" nne ndiyo kigezo cha kuingia chuo cho chote nchini!Kichwa cha habari chahusika,Nina kaka angu alimaliza form four miaka ya nyuma na hakuweza kufaulu kuendelea na form five,sasa hivi anawaza kuingia chuo asome sheria ila matokeo yake ana C ya Historia na C ya Civic, Masomo mengine alipata yote D. Je anaweza kuingia Chuo matokeo hayo?
Mojawapo ya qualification ya kusoma sheria ukitokea form four ni angalau uwe na 'C' ya Kiingereza.Kichwa cha habari chahusika,Nina kaka angu alimaliza form four miaka ya nyuma na hakuweza kufaulu kuendelea na form five,sasa hivi anawaza kuingia chuo asome sheria ila matokeo yake ana C ya Historia na C ya Civic, Masomo mengine alipata yote D. Je anaweza kuingia Chuo matokeo hayo?
www.ija.ac.tz Lushoto TangaKwa hayo matokeo yake ya form four anaweza kuenda nayo akakubaliwa?
Certificate anapokelewaKwa hayo matokeo yake ya form four anaweza kuenda nayo akakubaliwa?
Sidhani mkuu baadhi ya vyuo huwa naona angalau uwe na pass nne kwa maana ya "D" nne lakini wanahitaji uwe na "C" ya Kiingereza hasa kwa kozi za sheria."D" nne ndiyo kigezo cha kuingia chuo cho chote nchini!
IJA wanahitaji uwe na "C" ya kiingereza.www.ija.ac.tz Lushoto Tanga
Jordan University College Morogoro
Muslim University of Morogoro
Utasaidika
Sidhani mkuu baadhi ya vyuo huwa naona angalau uwe na pass nne kwa maana ya "D" nne lakini wanahitaji uwe na "C" ya Kiingereza hasa kwa kozi za sheria.
Kwenye afya ndiyo huwa naona wanahitaji "D" nne bila uhitaji wa "C" ya Kiingereza.
D pia ni pass.