Hivi unaweza kuwa na akili timamu ukakubali baba yako mzazi auze samaki akiwa na umri wa miaka 92 na ukakubali alalie mkeka?

Hivi unaweza kuwa na akili timamu ukakubali baba yako mzazi auze samaki akiwa na umri wa miaka 92 na ukakubali alalie mkeka?

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Huyu mzee Ana miaka 92 na ana watoto wameajiriwa huko serikalini Ila anauza samaki na kulalia mkeka

This is bullshit.

Screenshot_20250216-143543.png
 
Utalalia mkeka na kuuza samaki hata ukiwa na miaka 200, kama kazi yako itakua kuzalisha wanawake na kuwatelekeza halafu kutwa kupiga domo mtandaoni kuwatukana single maza.
 
Kuna mzee miaka kama 80 hapa jirani anauza samaki Deepsea yaani hata nyuma ni chakavu imepigwa bati upande mmoja ,hamna sakafu wala nn ...Ana watoto wakubwa ,mmojq ni muhasibu kaajiriwa huko Mbeya hajawahi kurudi na mwingine yuko Tanga ana nyumba kama tatu ; mbili kapangisha ...Ila mzee ni jihad anapamba mwenyewe .
 
Kuna mzee miaka kama 80 hapa jirani anauza samaki Deepsea yaani hata nyuma ni chakavu imepigwa bati upande mmoja ,hamna sakafu wala nn ...Ana watoto wakubwa ,mmojq ni muhasibu kaajiriwa huko Mbeya hajawahi kurudi na mwingine yuko Tanga ana nyumba kama tatu ; mbili kapangisha ...Ila mzee ni jihad anapamba mwenyewe .
Tanzania kuna watu wapumbavu Sana.
 
Kuna mzee miaka kama 80 hapa jirani anauza samaki Deepsea yaani hata nyuma ni chakavu imepigwa bati upande mmoja ,hamna sakafu wala nn ...Ana watoto wakubwa ,mmojq ni muhasibu kaajiriwa huko Mbeya hajawahi kurudi na mwingine yuko Tanga ana nyumba kama tatu ; mbili kapangisha ...Ila mzee ni jihad anapamba mwenyewe .
Ndio uhalisia wa maisha ya mwanaume na hatima yake ulimwenguni unavyo mjalia
 
Kuna mzee miaka kama 80 hapa jirani anauza samaki Deepsea yaani hata nyuma ni chakavu imepigwa bati upande mmoja ,hamna sakafu wala nn ...Ana watoto wakubwa ,mmojq ni muhasibu kaajiriwa huko Mbeya hajawahi kurudi na mwingine yuko Tanga ana nyumba kama tatu ; mbili kapangisha ...Ila mzee ni jihad anapamba mwenyewe .
Dah cjui shida n nn?
 
Back
Top Bottom