Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania kuna watu wapumbavu Sana.Kuna mzee miaka kama 80 hapa jirani anauza samaki Deepsea yaani hata nyuma ni chakavu imepigwa bati upande mmoja ,hamna sakafu wala nn ...Ana watoto wakubwa ,mmojq ni muhasibu kaajiriwa huko Mbeya hajawahi kurudi na mwingine yuko Tanga ana nyumba kama tatu ; mbili kapangisha ...Ila mzee ni jihad anapamba mwenyewe .
Mmmmmm duniaa hiiiHuyu mzee Ana miaka 92 na ana watoto wameajiriwa huko serikalini Ila anauza samaki na kulalia mkeka
This is bullshit nigga
View attachment 3237690
Mifumo ya dunia kila mtu ni mbinafsi ,mtu akipata kazi anataka kuishi mbali na kwao roho ya ubinafsi inamshika .Siku kadhaa mbele akishaoa ndio basi kabisa hana time na sehemu nyingineTanzania kuna watu wapumbavu Sana.
Mzee wa wapi na wanae wako serikalini wapi?!!Huyu mzee Ana miaka 92 na ana watoto wameajiriwa huko serikalini Ila anauza samaki na kulalia mkeka
This is bullshit nigga
View attachment 3237690
Mhmm... Kuna vitu vingine kama watoto hamuwezi mruhusu Mzee kufanya hivo lo kuna mazingira mtamuandalia tu
Ndio uhalisia wa maisha ya mwanaume na hatima yake ulimwenguni unavyo mjaliaKuna mzee miaka kama 80 hapa jirani anauza samaki Deepsea yaani hata nyuma ni chakavu imepigwa bati upande mmoja ,hamna sakafu wala nn ...Ana watoto wakubwa ,mmojq ni muhasibu kaajiriwa huko Mbeya hajawahi kurudi na mwingine yuko Tanga ana nyumba kama tatu ; mbili kapangisha ...Ila mzee ni jihad anapamba mwenyewe .
Dah cjui shida n nn?Kuna mzee miaka kama 80 hapa jirani anauza samaki Deepsea yaani hata nyuma ni chakavu imepigwa bati upande mmoja ,hamna sakafu wala nn ...Ana watoto wakubwa ,mmojq ni muhasibu kaajiriwa huko Mbeya hajawahi kurudi na mwingine yuko Tanga ana nyumba kama tatu ; mbili kapangisha ...Ila mzee ni jihad anapamba mwenyewe .
Kama mzee analala chin hiyo n level nyingine.Mhmm... Kuna vitu vingine kama watoto hamuwezi mruhusu Mzee kufanya hivo lo
Usije kulinganisha wakina sisi na kipindi chetu na huyo mzee!Utalalia mkeka na kuuza samaki hata ukiwa na miaka 200, kama kazi yako itakua kuzalisha wanawake na kuwatelekeza halafu kutwa kupiga domo mtandaoni kuwatukana single maza.
Dada ephen za ibadaUtalalia mkeka na kuuza samaki hata ukiwa na miaka 200, kama kazi yako itakua kuzalisha wanawake na kuwatelekeza halafu kutwa kupiga domo mtandaoni kuwatukana single maza.
Huwezi jua mambo ya familia za watu...Mhmm... Kuna vitu vingine kama watoto hamuwezi mruhusu Mzee kufanya hivo lo