naomba fani ya wazimu wako maana wangu naijuaalmajuunuuni funuuni
kila mwendawazimu na fani yake
naomba fani ya wazimu wako maana wangu naijua
Mtoboa siri kweli hayse,kuna posts zingine za watu na maneno yanagusa hisia sana
Husniyo hahahaha utaweza distance love?
inawezekana,kuna binti amewahi kunambia ananipenda na amefall kwangu coz ya sauti yangu(alipiga simu ofcn kwetu alikuwa na shida) akaomba namba ya simu na tunawasiliana mpk leo ila nilimwambia sihitaji mapenzi
hahahahahah sababu wajua sinaeeeewowowo lol
wazimu uko wa aina nyingi
umegonga mulemuleShosti siwezi kukuelewa vibaya my dia,mi nimekuelewa hivi,kwamba hisia ni kama wazimu,kwa hiyo inatokea kweli kufall,sijui kama nimetafsiri vibaya maana yako
hebu ni pm namba yake...
hahahahahah sababu wajua sinaeeee
Nemo people sex online,unakuta on skype,or site for chatting,mpaka mnajikuta mmefall mazimaTalk about the power of written words eh!..........................Anyhow I can easliy see how one can like and develop some sense of attraction, for another without having seen them but falling in love??? I think not!