tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,863
- 3,854
Hivi mtu mmoja anawezaje kuwa na majina manne?
Yanakaaje kwenye Nyaraka za kisheria (Legal Documents) ambazo Mara nyingi huwa na nafasi tatu?!!, yaani Jina la kwanza, la Pili/kati na la Mwisho/Ukoo!!?
Na, je ilikuwakuwaje na inakuwakuwaje mtu awe na majina 4 (manne)?
Nani wa Kumhakiki Mhakiki?
Nauliza tu!
Cc: JPJM.
Yanakaaje kwenye Nyaraka za kisheria (Legal Documents) ambazo Mara nyingi huwa na nafasi tatu?!!, yaani Jina la kwanza, la Pili/kati na la Mwisho/Ukoo!!?
Na, je ilikuwakuwaje na inakuwakuwaje mtu awe na majina 4 (manne)?
Nani wa Kumhakiki Mhakiki?
Nauliza tu!
Cc: JPJM.