GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Jana Viongozi wote wa Simba SC mlionekana Bunju Arena mkiwa na Sura za Upendo kwa Wachezaji huku kila Kiongozo aliyekuwepo katika Msafara ule akienda kwa kila Mchezaji na Kuwaonyesha Upendo na nimeona wengine hadi mkawa mnawatumia (mnawapa Hela) kutoka katika Simu zenu na Wachezaji baadhi Kutabsamu.
Mlikuwa wapi Siku zote? Msiufanye Mazozola (Wajinga) na Mapopoma (Wapumbavu ) sawa? Tunajua Wachezaji Morale yao imeshuaka kabisa kwakuwa wanadai Posho zao nyingi tu. Sasa ngojeni tufungwe na Yanga SC Weekend hii nitarui Tanzania Kuwapigeni kisha naejea zangu Kampala Uganda kuendelea na yaliyonileta huku.
Mnakera sana nyie....!!!
Mlikuwa wapi Siku zote? Msiufanye Mazozola (Wajinga) na Mapopoma (Wapumbavu ) sawa? Tunajua Wachezaji Morale yao imeshuaka kabisa kwakuwa wanadai Posho zao nyingi tu. Sasa ngojeni tufungwe na Yanga SC Weekend hii nitarui Tanzania Kuwapigeni kisha naejea zangu Kampala Uganda kuendelea na yaliyonileta huku.
Mnakera sana nyie....!!!