Hivi Urambo kuna viongozi kweli?

Hivi Urambo kuna viongozi kweli?

Kyenyabasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2023
Posts
247
Reaction score
715
Jamani viongoz i wa Urambo kuanzía Mkuu wa Wilaya, mkurugenzi na Baraza la madiwani mnaruhusu gereji za pikipki kuzagaa kila mahali kwenye ka mji kenu yaaani mmekosa eneo moja la kufunguà gereji kila anaehitaji huduma aifate mahali rasmi.

Kamji kachafu kamejaa oil chafu za pikipik mara ya kwanza nilishikwa na kinyaa kula chips maana maeneo machafu na makeleleya pikipik, kwakweli.
 
Wilaya isiyokuwa na maendeleo kabisa hiyo, yaani bado ni wana kijiji waacheni.
 
Jamani viongoz i wa Urambo kuanzía m/wilaya, mkurugenzi na Baraza la madjwani mnaruhusu gereji za pikipki kuzagaa kila mahali kwenye ka mji kenu yaaani mmekosa eneo moja la kufunguà gereji kila anaehitaji huduma aifate mahali rasmi...
Ndo maana tuna sema nchi iwe na Utawala wa majimbo.

Viongozi wawajibike kwenye Maeneo yao , so kla kitu Raisi aliyeko Magogoni Dar. Au Tunguu Zanzibar.

Taifa hili itachelewa sana kufikia Maendeleo yanayohitajika.

Mradi wa Bwa la Umeme, Kule SGeorge Seluu na ule mradi wa Mwndo kasi Mbagala na Mradi wa Standard Guage ndo taifa limesimama kusubiri iishe , unadhani watakuleteeni hela kujenga Urambo hawa?

Mujiongeze , Chagueni Chama chenye Mfumo Mbadala wa kuendesha Nchi CCM wameshindwa , akili zao haziwezi tena kutoka kwenye dimbwi la tope walimo nasa.
 
Back
Top Bottom