Hivi ushawahi kufikiria hiki kitu?

Hivi ushawahi kufikiria hiki kitu?

Embu fikiria kama viungo vyetu mwilini vingekuwa vinafungwa kwa nati au screw[emoji3]

Sasa siku moja ukaenda kuoga tena ukafungua na machine(kirungu) ili uisafishe vizuri afu mara paah nati inakuponyoka inaingia kwenye sink nakupotelea huko jumla[emoji3][emoji3][emoji3] afu uambiwe kuwa nati hazina spare dah hivi utafanyaje [emoji3][emoji3]
Kwani ribit si zipo mkuu!
 
Back
Top Bottom