prof.mutunga
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 341
- 60
Japo naumwa ila nimecheka saana what a pathetic speech? Hell know hm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia youtube search Idi amini utazipta clip za kutosha tu na hii ipoKuna video yake?
Are you sure? Your research skills are horrendous!Japo signature haionekani ila hiyo English mbovu itakuwa yake
ni utani tu,japo hakuwa vizuri kwenye English lakini haiwezekani afanye hizo grammatical errors, Amin alikuwa na akili !!!Japo signature haionekani ila hiyo English mbovu itakuwa yake
Hell know hm ulitaka kumaanisha nini?Japo naumwa ila nimecheka saana what a pathetic speech? Hell know hm
Hakua na akili, alijibandika vyeo tu, alikuwa na roho mbaya everni utani tu,japo hakuwa vizuri kwenye English lakini haiwezekani afanye hizo grammatical errors, Amin alikuwa na akili !!!
alikuwa mtu mwema sana if you knew him personally, alicheka na watu na alipenda utani,Idd Amini alikuwa na roho nzuri mno, watu waliomfanyia mabaya aliwalipa mabayaHakua na akili, alijibandika vyeo tu, alikuwa na roho mbaya ever
Mkuu umeangalia zako movie ya eid amin ukajua ndo alivyo na Ile nyimbo ya kizalendo unadhan ndo uhalisia wake? Ebu fuatilia idd amin alkua mfia nchi yake na mzalendo wa kwelHakua na akili, alijibandika vyeo tu, alikuwa na roho mbaya ever
Kumzidi nyerere?Hakua na akili, alijibandika vyeo tu, alikuwa na roho mbaya ever
Wafuata mkumbo hao na wafuasi wa mchonga meno wa butiama haoMkuu umeangalia zako movie ya eid amin ukajua ndo alivyo na Ile nyimbo ya kizalendo unadhan ndo uhalisia wake? Ebu fuatilia idd amin alkua mfia nchi yake na mzalendo wa kwel
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app