Wewe ushawahi kusikia hospital ya vichaa ulaya?Kwahiyo Ulaya hakuna hospitali za vichaa?
Wala madaktari wa vichaa?
Hizi kozi zipo Africa tu??
Ndio,
Kweli aisee kulogana kijingaNdio,
Machize walio wengi wamesababishiw na ndugu zake.
Ila sio ngoz nyeusi aisee ni shida, Uchawi upo mpaka machoni.Na ata Tabia ya wivu wa kijinga hawana
Kabisa.Dah...hii ni kwa wahenga tu...kizazi Cha JK watakushangaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Namuonaga tu mitandaoni. Kumfuatilia sijawahi kiukweli
Telepathy-Ila sio ngoz nyeusi aisee ni shida, Uchawi upo mpaka machoni.
Mtu anakuloga huku anakuangalia usoni.
Ndio, mpaka tahira. Mbilikimo pia wapo ingawaje sio ugonjwa wa akili.Katika pitapita zako nje na ndani ya Tanzania hivi ushawahi kumuona chizi la kizungu kama ambavyo machizi tunayoyaona mitaani kwetu huku?
Basi jua kwamba uchizi unatokana na clan history, ukiona mtu chizi ujue kwenye ukoo wao pia kuna mtu aliwahi kuwa chizi kipindi cha nyuma huko.
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app