Hivi usingekuwepo IKIMWI hali ingekuwaje??

Gosbertgoodluck

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2008
Posts
2,855
Reaction score
402
Ni uchokonozi tu! Lakini nashindwa hata kufikiria manake pamoja na kuwepo kwa ukimwi, bado ngono inafanywa tena 'ngono zembe' waziwazi tena kwa sana kana kwamba haupo.
 
Gosbert hebu rekebisha hiyo title kwanza halafu nitarudi
 
Nimeshindwa kurekebisha.

Ndo shida ya mobile haya nitachangia tu hivyo hivyo.

Sidhani kama kungekuwa na tofauti sana maana sheria zipo ili zivunjwe.

Na Mungu aliweka toba sababu anajua watu watakosea so sio rahisi sana watu wasikosee

Ni hayo tu nasikia usingizi
 
Usingekuwepo ukimwi ungekuwepo ugonjwa mwingine.
 
ule msemo wa nzi kufa juu ya kidonda si hasara usingekuwepo na naona ingekuwa full kujiachia zaidi. then kwa sasa wazazi huwakataza watoto ngono zaidi kwasababu ya ma/ugonjwa, sasa kama ya/ungelikuwa haupo sijuwi hata wangeanzia wapi?
 
Usingekuwepo watu wangekuwa wanatelezaa tu shwaaaaaaaa kama wamekanyaga ganda la ndizi
 
ajali kazini lol
ndo misemo siku hi zi ...
kwa hiyo watu hawaogopi sasa ...
ingekuwa balaa kama hamna ngoma...
nyumba ndogo kumi kumi
 
Haya just imagine kama saa hizi ni fully kujiachia. Usingekuwepo ingekuwa full kujimwaga yaani.. katoka juma, athumani hajali naye anaingia tuu....
 
hehehhhehe .... usinge kuwepo ukimwi hali ingekuwaje????:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
 
Kuna mtoto mmoja mzuri acha kabisa kule Arusha nilimla kwa k.on.d.om, iliniuma sana huu ukimwi ulinyima raha full, nauchukia sana. Halafu demu mwenyewe alikuwa hana neno!
 
Ukimwi usingekuwepo ingekuwa raha zaidi coz kondom ni karaha tu, zinatunyima raha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…